ๆญฃๅจๅ ่ฝฝ่ง้ข...
่ง้ขๅ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ
Bi harusi kama anataka kulia!
102,169 ๆฌก่ง็ โข 1 ๅนดๅ โขvia X (Twitter)
10 ๆก่ฏ่ฎบ

Haya ni matokeo ya bad parenting, a man should be taught to act and behave like a man. Mwanaume timamu hawezi kufanya mambo ya hivi. Labda kama huu ni mchezo wa kuigiza na hii ni script.

Hapa mwamba kafeli kabisa,wanawake ni watu wa wivu sana,tena anamsifia mbele ya mke wake,haikupasww kuwa ila fresh acha tuishi.

Maoni tu:Sidhani kama inapendeza mwanaume kuongea ongea saana harusini. Matokeo yake unaingiza mada controversial kama hizi.

๐๐๐vid tuu natizama napata hasira ๐คฃ๐คฃndo iwe kweli ningeleta taharuki

Hahahaha si utaharibu shughuli yako

Vijana weupe huwa hau sana

Naondoka zangu

Huyu Jamaaa jau Sana

"She have....." # sijui hii kitu amejifunzia wapi ? # ungeleta yote tusikie why " she have herself soul" ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ#

Ila kuwa mwanaume raha sana Unazichapa tu Madem tutazichapa tu izo maana ni kwajil yetu
