Loading video...
Video Failed to Load
CR: Jamii Forums
27,549 views • 2 years ago •via X (Twitter)
10 Comments

angel bellerin022 years ago
Duh hii nchi

Gery2 years ago
Shida tupu

JK2 years ago
@angelbellerin02 Hii angekuepo hayati JPM wangeambiwa warudishe hiyo hela

Gery2 years ago
@angelbellerin02 Yule ndiyo alikua hovyo na kikosi kazi kile.

salum salum2 years ago
Ndio mana wanavimba sana

G o n z a l o 🤟🏾2 years ago
Huwa tunalalamikia matokeo tu, ilikuaje deni mpaka linafika 64M? Maana yake huyu alikua mkwepa kodi, Yan wafanya biashara huwa wanatamani kwanza wasilipe kodi na hata akilipa alipe kidogo, sasa nchi itapata wapi pesa? Na upo unafanya biashara nchi husika?Fraud everywhere.

Ødegaard2 years ago
Dawa ni kuweka hela kwenye magunia 😂😂😂

Aaron Bushnell2 years ago
Hii nchi kila sekta ina wezi

TheMan2 years ago
Hiz sheria huwez pata wawekezej wenye akil timamu walah

Raphael Mheta2 years ago
Duh hii sio salama kabisa

