Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
CR: Jamii Forums
27,549 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

angel bellerin022 лет назад
Duh hii nchi

Gery2 лет назад
Shida tupu

JK2 лет назад
@angelbellerin02 Hii angekuepo hayati JPM wangeambiwa warudishe hiyo hela

Gery2 лет назад
@angelbellerin02 Yule ndiyo alikua hovyo na kikosi kazi kile.

salum salum2 лет назад
Ndio mana wanavimba sana

G o n z a l o 🤟🏾2 лет назад
Huwa tunalalamikia matokeo tu, ilikuaje deni mpaka linafika 64M? Maana yake huyu alikua mkwepa kodi, Yan wafanya biashara huwa wanatamani kwanza wasilipe kodi na hata akilipa alipe kidogo, sasa nchi itapata wapi pesa? Na upo unafanya biashara nchi husika?Fraud everywhere.

Ødegaard2 лет назад
Dawa ni kuweka hela kwenye magunia 😂😂😂

Aaron Bushnell2 лет назад
Hii nchi kila sekta ina wezi

TheMan2 лет назад
Hiz sheria huwez pata wawekezej wenye akil timamu walah

Raphael Mheta2 лет назад
Duh hii sio salama kabisa

