正在加载视频...
视频加载失败
CR: Jamii Forums
27,549 次观看 • 2 年前 •via X (Twitter)
10 条评论

angel bellerin022 年前
Duh hii nchi

Gery2 年前
Shida tupu

JK2 年前
@angelbellerin02 Hii angekuepo hayati JPM wangeambiwa warudishe hiyo hela

Gery2 年前
@angelbellerin02 Yule ndiyo alikua hovyo na kikosi kazi kile.

salum salum2 年前
Ndio mana wanavimba sana

G o n z a l o 🤟🏾2 年前
Huwa tunalalamikia matokeo tu, ilikuaje deni mpaka linafika 64M? Maana yake huyu alikua mkwepa kodi, Yan wafanya biashara huwa wanatamani kwanza wasilipe kodi na hata akilipa alipe kidogo, sasa nchi itapata wapi pesa? Na upo unafanya biashara nchi husika?Fraud everywhere.

Ødegaard2 年前
Dawa ni kuweka hela kwenye magunia 😂😂😂

Aaron Bushnell2 年前
Hii nchi kila sekta ina wezi

TheMan2 年前
Hiz sheria huwez pata wawekezej wenye akil timamu walah

Raphael Mheta2 年前
Duh hii sio salama kabisa

