Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Cutting Master...
35,557 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 12

Sikiliza alichosema Kiredio kuhusu Comments za watu za No Reform no Election. Video kwa Comments 👇

Leo..

Watu wengi wanaogopa kunyooka moja kwa moja… wanatumia hii Njia kufikisha Ujumbe… BINAFSI NMEMUELEWA- na ujumbe wa #NRNE umeenda mbaali mno

Huyu jamaa bora ange kaa kimya Tu..🚮

Huyu analeta utani kwenye mambo serious

Baba ake angejua bora angevaa kondomu tu kuliko Kazaa hii ng'ombe

Kwenye clafication of Non living things tunaitaga PAPAYA

Tukisema watu wa insta akili zao hazipo sawa Kwahyo uyu ni celebrity an tangu watu waanze kusema no reform no election haelewi chochote daaah😂 kwanza ndio anaona saiz

😂😂😂kumbe kuna watu hawajui lolote linaendelea nchini

Huyu anaonekana hata shule hakuna,anashindwa kutamka no reform no election,eti no reformed,fala kweli

Nime mu unfollow hyu🤣

Huyu alipewa umaarufu wa bure.. hana hoja..
