Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Daah!! Kumekucha 😜💔🏃
30,215 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
11 Yorum

I repeat MACHAME is a no go zone.! we jichanganye tu utaona

Hatuna imani na Wamachame

Mwenyewe juzi kat nilimcheki mama nkampa cm aongee na Dem wangu akaongea nae akaja kuniuliza wawap nkamwambia machame weeee alikuwa kimodaa akiongea ad yas wakamsubirisha 😂😂

Mtu mwenye namba yake amuambie kuwa iko wazi machame tushanyimwa TUSIOEE mama anacheo cha baba na baba anacheo cha mama how come🤨

Aisee

New single just landed! take the journey

Nyie wenyewe hamtakani, si ni akina nani!?

Mimi ni mchaga wa machame ili SIWOWI MCHAGA MIMI🥸

Hata Mimi niliachana nae aiseee,wanasema ukishapata Mali bas hyo ndo njia yako ya kwenda Mbinguni ili abaki na Mali😂😂😂😂😂

Huyu dada mwenyewe anaonekana dk2 mbele anakurestisha in peace

Jichanganye uoe mmamchame uone ,hawa wako real wala sio storry
