Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Dah aisee mjini Daslaam🤣🤣🤣

29,392 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля KIPARA
KIPARA1 год назад

‘Nanoya kwa week mara mbili, jumatatu na jumapili’ WTF? Kwamba unanyoa jumapili na jumatatu unaenda kunyoa tena..? Mji mgumu huu..🙌🏻🙌🏻🤣🤣

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

take the journey

Фото профиля Shebughe Son
Shebughe Son1 год назад

Jumatatu na jumapili kwa wiki mara 2🤣🤣🤣🤣🤣🤣bongo ukitaka kuwa star unatakiwa uwe na akili pia sio kuwaza kwa unaenda chooni

Фото профиля Budapest
Budapest1 год назад

Ananyoa jumamosi na jumatatu!!haha

Фото профиля NellyM
NellyM1 год назад

Radio station na wanao tangaza huu upuuzi wote wapuuzi

Фото профиля Her Loss
Her Loss1 год назад

Jumatatu na jumapili 😂😂😂😂

Фото профиля Nyando_Mwaliwaya🇰🇪🦁
Nyando_Mwaliwaya🇰🇪🦁1 год назад

Hao watangazaji ni wabunifu mno, wanahoji maswali muhimu mno kwa Taifa letu.

Фото профиля Gogaga
Gogaga1 год назад

Ila hizi clip mbeleni huko tutakuja kuziangalia km vichekecho km tunavoangalia bongo movie ya zaman ilivyo kwa sasa

Фото профиля Roger keshen
Roger keshen1 год назад

Iyo ni hafusita siko lakisita tuwe makini uyo ni tapeli 😁😁😁

Фото профиля Hancy Machemba
Hancy Machemba1 год назад

Kunyoa jpili na jtatu nywele zimeshaota ananyoa tena😂😂😂😂 Nilikuwa nanyonya mzuri na ana akili,kumbe chenga tupu.

Фото профиля dmkodabest
dmkodabest1 год назад

Mtu akiongea pumba kama hvi akikuletea shida hautakiwi kumsaidia

Похожие видео