Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Dah aisee mjini Daslaam🤣🤣🤣
29,392 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

‘Nanoya kwa week mara mbili, jumatatu na jumapili’ WTF? Kwamba unanyoa jumapili na jumatatu unaenda kunyoa tena..? Mji mgumu huu..🙌🏻🙌🏻🤣🤣

take the journey

Jumatatu na jumapili kwa wiki mara 2🤣🤣🤣🤣🤣🤣bongo ukitaka kuwa star unatakiwa uwe na akili pia sio kuwaza kwa unaenda chooni

Ananyoa jumamosi na jumatatu!!haha

Radio station na wanao tangaza huu upuuzi wote wapuuzi

Jumatatu na jumapili 😂😂😂😂

Hao watangazaji ni wabunifu mno, wanahoji maswali muhimu mno kwa Taifa letu.

Ila hizi clip mbeleni huko tutakuja kuziangalia km vichekecho km tunavoangalia bongo movie ya zaman ilivyo kwa sasa

Iyo ni hafusita siko lakisita tuwe makini uyo ni tapeli 😁😁😁

Kunyoa jpili na jtatu nywele zimeshaota ananyoa tena😂😂😂😂 Nilikuwa nanyonya mzuri na ana akili,kumbe chenga tupu.

Mtu akiongea pumba kama hvi akikuletea shida hautakiwi kumsaidia
