Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Duuh! Huyu Sheikh 🤔

22,161 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Ikabaako's profile picture
Ikabaako1 year ago

Ukweli ndio huo. Uislamu ni wa waarabu tu. Nyie gongo wazi mmedandia tu. Wakristo tupo organized sana kwa sababu tunaenda shule na sio madrassa.

Rock Paper Sizzle's profile picture
Rock Paper Sizzle1 year ago

🇺🇸 One Nation, under Trump, Stronger THAN EVER. Are you Trump Tough? 💪Tough T's Here:

Bonusbet Tanzania's profile picture
Bonusbet Tanzania1 year ago

Hivi kwann hawa jamaa muda wote wanaisigi wanaonewa tu🤣

Classic Cars's profile picture
Classic Cars1 year ago

Ndo maana Mayele alisema wanamtumia Majini 😂😂😂😂

Juma Dintor's profile picture
Juma Dintor1 year ago

Huyo ni mwaipopo ni mkristo na sio Muslim alisilimu alijua kwenye uislam kuna hela huku kuyamunya mpila upo Saudi Arabia wanaotumia hela nyingi kuliko sisi waliotuletea dini huku kwenye uislam naona safari yake ishakua ngumu aludi alipotoka

Eli Njex's profile picture
Eli Njex1 year ago

Kuna waislamu weusi Waislam weupe Waislam maskini Waislam matajiri Waislam weusi maskini Waislam weusi matajiri Waislam weupe matajiri Waislam weupe maskini Ogopa sana kujikuta mtu wa dini alafu ni maskini wa kifedha!

abudhabi's profile picture
abudhabi1 year ago

Mbona shekhe kunde na maharage mwipopo hajasema kuwa mpira wananchi wote tanzania akili yao imepotelea huko mkristo muislamu wote wamo kwenye mpira hujui kuwa Mo na GSM kwenye mpira wanapata faida kuliko biashara zao waislamu ndio matajiri tanzania na ndio wanaokula bata

@ Issare's profile picture
@ Issare1 year ago

Hao wakristo dini inawachanganya

Dirisha Dogo🇹🇿's profile picture
Dirisha Dogo🇹🇿1 year ago

Naomba @EsirEid aje apangue maelezo ya huyu sheikh ubwabwa ambaye anataka uislamu uwe kama ukristo kitu ambacho hakiwezi kutokea.

kijana jasiri's profile picture
kijana jasiri1 year ago

Sheikh ana akili kisoda kwahiyo kila nchi hadi Ulaya waislamu tu ndio wapo busy na mpira 🚮🚮

Skymoca_tz's profile picture
Skymoca_tz1 year ago

Kwani uislam unakataza kushabikia mpira au kuwekeza kwneye mpira