Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Duuh! Huyu Sheikh 🤔

22,161 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

Ikabaako profil fotoğrafı
Ikabaako1 yıl önce

Ukweli ndio huo. Uislamu ni wa waarabu tu. Nyie gongo wazi mmedandia tu. Wakristo tupo organized sana kwa sababu tunaenda shule na sio madrassa.

Rock Paper Sizzle profil fotoğrafı
Rock Paper Sizzle1 yıl önce

🇺🇸 One Nation, under Trump, Stronger THAN EVER. Are you Trump Tough? 💪Tough T's Here:

Bonusbet Tanzania profil fotoğrafı
Bonusbet Tanzania1 yıl önce

Hivi kwann hawa jamaa muda wote wanaisigi wanaonewa tu🤣

Classic Cars profil fotoğrafı
Classic Cars1 yıl önce

Ndo maana Mayele alisema wanamtumia Majini 😂😂😂😂

Juma Dintor profil fotoğrafı
Juma Dintor1 yıl önce

Huyo ni mwaipopo ni mkristo na sio Muslim alisilimu alijua kwenye uislam kuna hela huku kuyamunya mpila upo Saudi Arabia wanaotumia hela nyingi kuliko sisi waliotuletea dini huku kwenye uislam naona safari yake ishakua ngumu aludi alipotoka

Eli Njex profil fotoğrafı
Eli Njex1 yıl önce

Kuna waislamu weusi Waislam weupe Waislam maskini Waislam matajiri Waislam weusi maskini Waislam weusi matajiri Waislam weupe matajiri Waislam weupe maskini Ogopa sana kujikuta mtu wa dini alafu ni maskini wa kifedha!

abudhabi profil fotoğrafı
abudhabi1 yıl önce

Mbona shekhe kunde na maharage mwipopo hajasema kuwa mpira wananchi wote tanzania akili yao imepotelea huko mkristo muislamu wote wamo kwenye mpira hujui kuwa Mo na GSM kwenye mpira wanapata faida kuliko biashara zao waislamu ndio matajiri tanzania na ndio wanaokula bata

@ Issare profil fotoğrafı
@ Issare1 yıl önce

Hao wakristo dini inawachanganya

Dirisha Dogo🇹🇿 profil fotoğrafı
Dirisha Dogo🇹🇿1 yıl önce

Naomba @EsirEid aje apangue maelezo ya huyu sheikh ubwabwa ambaye anataka uislamu uwe kama ukristo kitu ambacho hakiwezi kutokea.

kijana jasiri profil fotoğrafı
kijana jasiri1 yıl önce

Sheikh ana akili kisoda kwahiyo kila nchi hadi Ulaya waislamu tu ndio wapo busy na mpira 🚮🚮

Skymoca_tz profil fotoğrafı
Skymoca_tz1 yıl önce

Kwani uislam unakataza kushabikia mpira au kuwekeza kwneye mpira

Benzer Videolar