正在加载视频...
视频加载失败
First Juma’a call for prayers (Adhan) at a newly built Masjid Tawheed Coco Beach, Dar Es Salaam Tanzania.
10 条评论

@Msukuma17 Hapo ndipo utaona waislam wameporomoka kiufahamu juu ya uislamu wao Inakuwaje muazini amevaa mavazi yanayowakilisha utawala usiotambua dini? Inakuwaje mwanzin anaesimamia sheria zisizokuwa za Allah swt na anapambana na kila anaezishika sheria za Allah swt? Wajinga ndio waliwao

Hakuna wito mzuri kama Adhana MashaAllah

Haya ndio majizi ya kura

............. demokrasia ni tatizo

Mtume (saw) Itafika zama mwislamu atajikurubisha ktk maovu/madhambi akidhani kuwa anafanya wema. 😭😭😭

Mashallah Adhan nzuri Kaka mkumbushe muadhin hiyo 'yau/ye' pana 'shadda' hivyo anatakiwa kupakazia asiisome kama 'ye' isiyo na shadda Mfano 👇 حـَيَّ عَلٰي الصلاة حـَيَّ عَلٰي الصلاة حـَيَّ عَلٰي الْفـَلَاح حـَيَّ عَلٰي الْفـَلَاح

MaashaAllah

🙏

Mashaallah

Mashaallah


