Loading video...
Video Failed to Load
Former CAG. Proff assad.
55,219 views • 11 months ago •via X (Twitter)
11 Comments

Ndo kama saiv limejemgwa JENGO kubwa la mahakama halaf utoaji wa HAKI ni sifuri, Sasa jengo linasaidia nin kwenye utoaji HAKI 😃😃

I wish I had found this sooner! 🥳 It ensures a tidy sink area. ✅It was easy to attach to the faucet and holds tight! Get yours 👉

Bahati mbaya hawa watu wenye akili timamu nchi hii hawatakiwi

Halafu msenge Magufuli akamfukuza kazi baada ya kusema Air Tanzania imeingiza hasara. 🚮🚮

Assad alikua hakwepeshi😂

Sana sana,huyu ndiye msomi sio kina kabudi mwigulu kitila mkumbo

Naishaur viongozi wa chadema wamshawishi huyu mzee ajiunge chamani ni hazina kubwa kwa taifa

Nakumbuka wabunge wakiongozwa na ndugai waliwahi kumnanga sana huyu tena kwa kejeli kisa aliwaambia ukweli kwamba bunge ni dhaifu lakini kiufupi huyu mwamba kichwani yupo vizuri badala ya Rais kuandamana na watu kama hawa kwenye msafara unamchukuwa stivu mengere na mwijaku 😁

Watu kama ni tunu ya taifa na ni ngumu sana kupatikana kirahisi, but viongozi wetu sasa wasvyopenda transparency 🚮🚮

Tuna watu makini kama huyu prof ila Kwa ujinga wetu hatuwatumii ila machawa ndio wanapewa

Professor Assad ndiye muasisi wa no reforms no election!
