Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Former CAG. Proff assad.

55,250 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Ketamine💉💊's profile picture
Ketamine💉💊1 year ago

Ndo kama saiv limejemgwa JENGO kubwa la mahakama halaf utoaji wa HAKI ni sifuri, Sasa jengo linasaidia nin kwenye utoaji HAKI 😃😃

Tastopia's profile picture
Tastopia1 year ago

I wish I had found this sooner! 🥳 It ensures a tidy sink area. ✅It was easy to attach to the faucet and holds tight! Get yours 👉

🇹🇷GianT's profile picture
🇹🇷GianT1 year ago

Bahati mbaya hawa watu wenye akili timamu nchi hii hawatakiwi

My64impala🇺🇦🇺🇸🇹🇿🇮🇱's profile picture
My64impala🇺🇦🇺🇸🇹🇿🇮🇱1 year ago

Halafu msenge Magufuli akamfukuza kazi baada ya kusema Air Tanzania imeingiza hasara. 🚮🚮

AMORIM ERA🇵🇸@allymohamed's profile picture
AMORIM ERA🇵🇸@allymohamed1 year ago

Assad alikua hakwepeshi😂

mobappdev's profile picture
mobappdev1 year ago

Sana sana,huyu ndiye msomi sio kina kabudi mwigulu kitila mkumbo

Athuman Charles's profile picture
Athuman Charles1 year ago

Naishaur viongozi wa chadema wamshawishi huyu mzee ajiunge chamani ni hazina kubwa kwa taifa

poizon's profile picture
poizon1 year ago

Nakumbuka wabunge wakiongozwa na ndugai waliwahi kumnanga sana huyu tena kwa kejeli kisa aliwaambia ukweli kwamba bunge ni dhaifu lakini kiufupi huyu mwamba kichwani yupo vizuri badala ya Rais kuandamana na watu kama hawa kwenye msafara unamchukuwa stivu mengere na mwijaku 😁

benkiko's profile picture
benkiko1 year ago

Watu kama ni tunu ya taifa na ni ngumu sana kupatikana kirahisi, but viongozi wetu sasa wasvyopenda transparency 🚮🚮

Fred Mwanemile's profile picture
Fred Mwanemile1 year ago

Tuna watu makini kama huyu prof ila Kwa ujinga wetu hatuwatumii ila machawa ndio wanapewa

Meshack LOOMU's profile picture
Meshack LOOMU1 year ago

Professor Assad ndiye muasisi wa no reforms no election!

Related Videos