Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Former CAG. Proff assad.

55,219 просмотров • 11 месяцев назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Ketamine💉💊
Ketamine💉💊11 месяцев назад

Ndo kama saiv limejemgwa JENGO kubwa la mahakama halaf utoaji wa HAKI ni sifuri, Sasa jengo linasaidia nin kwenye utoaji HAKI 😃😃

Фото профиля Tastopia
Tastopia1 год назад

I wish I had found this sooner! 🥳 It ensures a tidy sink area. ✅It was easy to attach to the faucet and holds tight! Get yours 👉

Фото профиля 🇹🇷GianT
🇹🇷GianT11 месяцев назад

Bahati mbaya hawa watu wenye akili timamu nchi hii hawatakiwi

Фото профиля My64impala🇺🇦🇺🇸🇹🇿🇮🇱
My64impala🇺🇦🇺🇸🇹🇿🇮🇱11 месяцев назад

Halafu msenge Magufuli akamfukuza kazi baada ya kusema Air Tanzania imeingiza hasara. 🚮🚮

Фото профиля AMORIM ERA🇵🇸@allymohamed
AMORIM ERA🇵🇸@allymohamed11 месяцев назад

Assad alikua hakwepeshi😂

Фото профиля mobappdev
mobappdev11 месяцев назад

Sana sana,huyu ndiye msomi sio kina kabudi mwigulu kitila mkumbo

Фото профиля Athuman Charles
Athuman Charles11 месяцев назад

Naishaur viongozi wa chadema wamshawishi huyu mzee ajiunge chamani ni hazina kubwa kwa taifa

Фото профиля poizon
poizon11 месяцев назад

Nakumbuka wabunge wakiongozwa na ndugai waliwahi kumnanga sana huyu tena kwa kejeli kisa aliwaambia ukweli kwamba bunge ni dhaifu lakini kiufupi huyu mwamba kichwani yupo vizuri badala ya Rais kuandamana na watu kama hawa kwenye msafara unamchukuwa stivu mengere na mwijaku 😁

Фото профиля benkiko
benkiko11 месяцев назад

Watu kama ni tunu ya taifa na ni ngumu sana kupatikana kirahisi, but viongozi wetu sasa wasvyopenda transparency 🚮🚮

Фото профиля Fred Mwanemile
Fred Mwanemile11 месяцев назад

Tuna watu makini kama huyu prof ila Kwa ujinga wetu hatuwatumii ila machawa ndio wanapewa

Фото профиля Meshack LOOMU
Meshack LOOMU11 месяцев назад

Professor Assad ndiye muasisi wa no reforms no election!

Похожие видео