正在加载视频...
视频加载失败
Full peefomance ya Said Said
13 条评论

Haja The Great wa Bongo Fm na Sky wa Simulizi na Sauti, Wamesema kuwa aina ya Uchekeshaji wa Said Said, jana mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan Haukukaa vizuri, Ilikuwa Haiko Comfortable kusikiliza Au kumwambia Rais. Soma walichosema.. Kisha sikiliza Full perfomance yake.. Video kwa Comments 👇

Alichosema Haja The Credible na Sky Tanzania

Baba leovo akawa na hili la kuongeza kuhusu Comedians na Said Said

whoa thats crazy but have you heard this?

Amekosea kumsema Rais kama mama wa mtaani, mh. Rais ana heshima yake

Ana mu address amiri jesh kama mama flani tu mtaani, hata ukiangalia facial expression ya Rais anaonekana hapendezwi kijana amekosea sana

Hata haivutii kuisikiliza. Mwanzoni tu hapo unaamua tu kuachana nayo kuisikiliza. Kazingua sana

Ukizoeana na mtu anakuchukulia poa badala ya kulinda heshima, it means hakuwa na hata script ya kwend kuiwasilisha hapo.

Sasa hapa kasema kitu gani offensive, wabongo ni washamba kinoma. No sense of humor kabisa, this was very well done good job bro.

Mbona hakuna alichokosea huyu dogo. Dah ila wabongo

Ndio maana umeiita ni PEEFOMANCE maana kweli ni mkojo mavi tu. Hakuna comedian hapo. Ushuzi tu.

@Jameskaguo

Ndio shida ya watanzania ukiwapa nafasi hawatengenezi wanaharibu


