Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Full peefomance ya Said Said

34,911 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

13 Yorum

Latto 𝕏 profil fotoğrafı
Latto 𝕏1 yıl önce

Haja The Great wa Bongo Fm na Sky wa Simulizi na Sauti, Wamesema kuwa aina ya Uchekeshaji wa Said Said, jana mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan Haukukaa vizuri, Ilikuwa Haiko Comfortable kusikiliza Au kumwambia Rais. Soma walichosema.. Kisha sikiliza Full perfomance yake.. Video kwa Comments 👇

Latto 𝕏 profil fotoğrafı
Latto 𝕏1 yıl önce

Alichosema Haja The Credible na Sky Tanzania

Latto 𝕏 profil fotoğrafı
Latto 𝕏1 yıl önce

Baba leovo akawa na hili la kuongeza kuhusu Comedians na Said Said

Solar Heavy profil fotoğrafı
Solar Heavy1 yıl önce

whoa thats crazy but have you heard this?

Christian Mgombezi profil fotoğrafı
Christian Mgombezi1 yıl önce

Amekosea kumsema Rais kama mama wa mtaani, mh. Rais ana heshima yake

Richie Dollar profil fotoğrafı
Richie Dollar1 yıl önce

Ana mu address amiri jesh kama mama flani tu mtaani, hata ukiangalia facial expression ya Rais anaonekana hapendezwi kijana amekosea sana

JayDan profil fotoğrafı
JayDan1 yıl önce

Hata haivutii kuisikiliza. Mwanzoni tu hapo unaamua tu kuachana nayo kuisikiliza. Kazingua sana

James hamis profil fotoğrafı
James hamis1 yıl önce

Ukizoeana na mtu anakuchukulia poa badala ya kulinda heshima, it means hakuwa na hata script ya kwend kuiwasilisha hapo.

Winjy2k profil fotoğrafı
Winjy2k1 yıl önce

Sasa hapa kasema kitu gani offensive, wabongo ni washamba kinoma. No sense of humor kabisa, this was very well done good job bro.

AGE49👽 profil fotoğrafı
AGE49👽1 yıl önce

Mbona hakuna alichokosea huyu dogo. Dah ila wabongo

Baura Akii-Buar Keitō 🇿🇲🇺🇬 profil fotoğrafı
Baura Akii-Buar Keitō 🇿🇲🇺🇬1 yıl önce

Ndio maana umeiita ni PEEFOMANCE maana kweli ni mkojo mavi tu. Hakuna comedian hapo. Ushuzi tu.

Kopites profil fotoğrafı
Kopites1 yıl önce

@Jameskaguo

Shedrack Joshua profil fotoğrafı
Shedrack Joshua1 yıl önce

Ndio shida ya watanzania ukiwapa nafasi hawatengenezi wanaharibu

Benzer Videolar