Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

GALOOOOOOOOOOOOOOOOO

60,206 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

B de Breno's profile picture
B de Breno1 year ago

na hora q de 15 da tarde e abrir o portão de ir embora, ja vou ta para fora da escola fds

perssona grata's profile picture
perssona grata1 year ago

2 x 0 Mengão

gi lavigne's profile picture
gi lavigne1 year ago

😭😭😭😭😭😭

Hunter's profile picture
Hunter1 year ago

Droga...

‎ً's profile picture
‎ً1 year ago

😔😔😕😕😭😭

juu¹⁹⁰⁸🌺's profile picture
juu¹⁹⁰⁸🌺1 year ago

Minha maior decepção da vida é fazer esse enem e n ver o jogo do galo😭😭😭

caetanoᶜᵃᵐ's profile picture
caetanoᶜᵃᵐ1 year ago

@pedroguieiro13

nat turismo's profile picture
nat turismo1 year ago

@ludmsc_ @hernanijuniorrr

Augustin's profile picture
Augustin1 year ago

toma no cu 😔

AYRTON's profile picture
AYRTON1 year ago

kkkkk

Related Videos

Huyu ni Simai Mohamed Said Mbuge wa Jimbo la Tunguun (Zanzibar) Wasilisho la mbunge huyu leo hii akichangia bajeti ya wizara ya fedha, limebainisha dhahiri ndani ya serikali kuna msigano mkubwa. Mbunge huyu alitoka kabisa nje ya mada kuchangia hoja iliyokuwepo mezani na kuanza kumshambulia mtu anayedai yupo ndani ya serikali kwa kumuita Yuda Kwa mujibu wa video hii, Mbuge huyu anamtaja Yuda kwa sifa zifuatazo 1. Anatumia vibaya nafasi ya kuaminika na rais kumsaliti 2. Mtu huyo amefitini watu ambao walikuwa wanakaa siti za mbele bungeni (mawaziri) na sasa wako backbench. Amefitini sana wafanyabiashara na kupotezea wengi ndoto zao za kisiasa. 3. Mtu huyo amekuwa akilitumia kanisa kuifitini serikali Hadi hapa nilikuwa nimetatizika sana kumjua mtu wenye wasifu hapo juu. Lakini mbunge huyu akanirahisishia kazi alipoongeza kuwa 4. Yuda anajidai alikuwa anapendwa na hayati Magufuli wakati enzi za utawala wake alimtupa mbali huko nje ya nchi. Hili halikuwa tena fumbo kwangu. Ni hivi karibuni, katika msiba wa mama mzazi wa hayati rais Magufuli, John Nchimbi, Makamu wa rais, amenukuliwa akielezea jinsi alivyokuwa karibu na hayati Magufuli wakiitana watani. Jinsi alivyokuwa akichukua pipi za Magufuli kwa kuwa hakuwa akila pipi, jinsi alivyotaka kumteua ubunge kupitia nafasi 10 anazopewa rais, na hadi jinsi alivyomteua balozi japo alishamwambia nia yake ya kutaka kupumzika. Nchimbi katika kutaka kuthibitisha hili, akaomba wasaidizi wake wamletee simu yenye ujumbe aliotumiwa na Magufuli ambao ameutunza mpaka leo na aliuonyesha kwa familia yake yote. Kwa hiyo, mbunge huyu Mzanzibari ameshaanza kutupa code kuwa kuna kutoaminiana ndani ya viongozi wa juu wa serikali. Nachelea kusema mbunge huyu hakuingea haya kwa bahati mbaya bali imetokana na vikao vilivyofanyika sehemu na kuaminishana haya aliyoyaongea leo, na ametumwa kuyawasilisha. Ujumbe mwingine unatumwa hapa ni vita dhidi ya kanisa ambalo halijatajwa. Kama alimaanisha kanisa la Nchimbi, basi kuna vita visivyo vya wazi kati ya watu fulani ndani ya serikali na Kanisa Katoliki. End of evening rant

Fortunatus Buyobe

46,360 views • 12 days ago