Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

38,189 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

9 Kommentare

Profilbild von H
Hvor 1 Jahr

Is he your constituent? Ebu tufanyie kazi sisi ndio tulikuchagua, stop being pre-occupied with a fellow man. Are you Kaluma?

Profilbild von kibe
kibevor 1 Jahr

We are dealing with the government. We don't care who gachagua is. Your government has failed terrible. We receive news daily of extrajudicial killing. Thugs were yesterday escorted by police officers to rob.

Profilbild von African
Africanvor 1 Jahr

How did I vote for this party from Mca to president wasted vote for the worst party in the country

Profilbild von Esther Mungai
Esther Mungaivor 1 Jahr

This will never beat that you told us to kill our children and politicize it.... You're a horrible evile despicable human being and it's unfortunate you and your band of brothers in corruption,murder and abductions are what we have to show for leaders

Profilbild von VJ TEDDYIE ™🍂
VJ TEDDYIE ™🍂vor 1 Jahr

The Problem is You not Gachagua😂😂😂...Umbwa Wewe

Profilbild von HESBON 🇰🇪 🇰🇪
HESBON 🇰🇪 🇰🇪vor 1 Jahr

Hapo awali...

Profilbild von MUNAA🇰🇪
MUNAA🇰🇪vor 1 Jahr

Hata wewe apo awali uliita ruto ubwa na ukasema hana meno ya mbele

Profilbild von PMuchiriNjoroge
PMuchiriNjorogevor 1 Jahr

Dear @grok please generating videos of Junet mohammed calling William Ruto fisi na awache kutisha yeye.Thank you..He is a dunder head politician that think we do not remember.

Profilbild von Calget
Calgetvor 1 Jahr

Huyu jamaa anawapea stress walai😂

Ähnliche Videos

VIDEO: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeifuta kesi ya Uhujumu uchumi Na. 13647/2026 iliyokuwa imefunguliwa Mahakamani hapo na Jamhuri dhidi ya wanafamilia wawili (2) ambao ni Adam Caiser Poppe na Caiser Hans Poppe Maamuzi hayo ya Mahakama yamekuja kufuatia mapingamizi mawili (2) ya kisheria yaliyokuwa yamewekwa awali na Wakili wa utetezi Peter Kibatala chini ya kifungu cha 134, kifungu kidogo cha kwanza (1), na kifungu cha Nne (4), kifungu kidogo cha Tatu (3) cha Sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura ya 20, marejeo ya 2023, ambapo mapingamizi hayo yalikuja baada ya upande wa Jamhuri kuieleza Mahakama kuwa upelelezi wa kesi inayowakabili wateja wake haujakamilika Katika maelezo yake Mahakamani, Wakili Kibata alisema kufunguliwa kwa kesi hiyo ikiwa bado upelelezi haujakamilika kumevunja maelekezo ya msingi yaliyitolewa na Bunge, yanayotokana na kifungu tajwa cha 134, ambapo licha ya Jamhuri kupitia kwa Wakili wa Serikali Mwandamizi Thawabu Issa kupinga hoja hizo lakini haikushawishi Mahakama kuifuta kesi hiyo, Akiwa kwenye viunga vya Mahakama hiyo, Wakili Kibatala akawaeleza Waandishi wa Habari kile kilichoisukuma Mahakama leo, Jumanne tarehe 21/07/2026 kuifuta kesi hiyo na kuwaachia huru wateja wake Wanafamilia hao walikuwa wanakabiliwa na makosa 22 Mahakama hapo, ambapo kati ya hayo makosa 20 yalikuwa ya jinai ya kawaida na makosa mawili (2) yalikuwa ya Uhujumu uchumi yakigawanyika katika mafungu mann (4) tofauti

Jambo TV

33,493 Aufrufe • vor 27 Tagen