Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

38,189 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 9

Фото профиля H
H1 год назад

Is he your constituent? Ebu tufanyie kazi sisi ndio tulikuchagua, stop being pre-occupied with a fellow man. Are you Kaluma?

Фото профиля kibe
kibe1 год назад

We are dealing with the government. We don't care who gachagua is. Your government has failed terrible. We receive news daily of extrajudicial killing. Thugs were yesterday escorted by police officers to rob.

Фото профиля African
African1 год назад

How did I vote for this party from Mca to president wasted vote for the worst party in the country

Фото профиля Esther Mungai
Esther Mungai1 год назад

This will never beat that you told us to kill our children and politicize it.... You're a horrible evile despicable human being and it's unfortunate you and your band of brothers in corruption,murder and abductions are what we have to show for leaders

Фото профиля VJ TEDDYIE ™🍂
VJ TEDDYIE ™🍂1 год назад

The Problem is You not Gachagua😂😂😂...Umbwa Wewe

Фото профиля HESBON 🇰🇪 🇰🇪
HESBON 🇰🇪 🇰🇪1 год назад

Hapo awali...

Фото профиля MUNAA🇰🇪
MUNAA🇰🇪1 год назад

Hata wewe apo awali uliita ruto ubwa na ukasema hana meno ya mbele

Фото профиля PMuchiriNjoroge
PMuchiriNjoroge1 год назад

Dear @grok please generating videos of Junet mohammed calling William Ruto fisi na awache kutisha yeye.Thank you..He is a dunder head politician that think we do not remember.

Фото профиля Calget
Calget1 год назад

Huyu jamaa anawapea stress walai😂

Похожие видео

VIDEO: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeifuta kesi ya Uhujumu uchumi Na. 13647/2026 iliyokuwa imefunguliwa Mahakamani hapo na Jamhuri dhidi ya wanafamilia wawili (2) ambao ni Adam Caiser Poppe na Caiser Hans Poppe Maamuzi hayo ya Mahakama yamekuja kufuatia mapingamizi mawili (2) ya kisheria yaliyokuwa yamewekwa awali na Wakili wa utetezi Peter Kibatala chini ya kifungu cha 134, kifungu kidogo cha kwanza (1), na kifungu cha Nne (4), kifungu kidogo cha Tatu (3) cha Sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai sura ya 20, marejeo ya 2023, ambapo mapingamizi hayo yalikuja baada ya upande wa Jamhuri kuieleza Mahakama kuwa upelelezi wa kesi inayowakabili wateja wake haujakamilika Katika maelezo yake Mahakamani, Wakili Kibata alisema kufunguliwa kwa kesi hiyo ikiwa bado upelelezi haujakamilika kumevunja maelekezo ya msingi yaliyitolewa na Bunge, yanayotokana na kifungu tajwa cha 134, ambapo licha ya Jamhuri kupitia kwa Wakili wa Serikali Mwandamizi Thawabu Issa kupinga hoja hizo lakini haikushawishi Mahakama kuifuta kesi hiyo, Akiwa kwenye viunga vya Mahakama hiyo, Wakili Kibatala akawaeleza Waandishi wa Habari kile kilichoisukuma Mahakama leo, Jumanne tarehe 21/07/2026 kuifuta kesi hiyo na kuwaachia huru wateja wake Wanafamilia hao walikuwa wanakabiliwa na makosa 22 Mahakama hapo, ambapo kati ya hayo makosa 20 yalikuwa ya jinai ya kawaida na makosa mawili (2) yalikuwa ya Uhujumu uchumi yakigawanyika katika mafungu mann (4) tofauti

Jambo TV

33,493 просмотров • 27 дней назад