Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
“HATUKAMATANI KWA UTANI WA MPIRA”
68,393 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

Linapo kuja swala la hizi timu hata wenye akili huwa wanakuja kuonekana hawana akili yani badala ya kuwambia vijana wajifunze kuongea mbele za watu pindi unapo jibizana na kiongozi wa serikali hawana ukubwa huo na mbaya alimwingiza Rais kwenye maongezi ili kujipa uhalali

Sio ni kheri, marufuku kushadadia mpira kama unajijua una patience level ya sisimizi! Mbona Msigwa anatanikika na anaenda vizuri tu, Rais mwenyewe anataniwa kwenye mada za mpira yeye papasi mmoja anayeshabikia Simba halafu anajifanya mfia damu wa Tabora asitaniwe nani na kautaka?

Huyu mkuu wa mkoa ni mshamba mmoja tu. Shida ya kuwa Kolowizard, hasira za kufungwa Tabora na Makolo anazihamishia kwa Aly Kamwe. Yeye na huyo aliyemkamata tutadeal nao tu.

Sasa iv kwenye mpira utekaji utaanza

🇺🇸 The Future of America is Digital—And So Are the Threats! 🔐 It’s time for a bold, national cybersecurity strategy. The new government must act fast. So must you. 🦅 🎯 Be part of the solution! Get the CYBERSECURITY DICTIONARY for Everyone, on Amazon:

Sema wewe job kichwan Amna kitu kwhy coz mnabishana mambo ya mpira upo tayari mtu akutusi kisa mpo kwenye Agenda za mpira,Andazi kwel ww kila kitu kina mipaka yake unapobishana na kiongozi hata kama Kweny mpira basi kuna lugha haupaswi kuzitumia🙏🏿

Alikamwe alikosea ila pia mkuu ajitathmini why anajibiwa vibaya sana , yule jamaa wa manunuzi si ndio alimjibu pia mshikaji vibaya?ni nyota au nini hapa hakipo sawa

Watu wanatetea mambo aliyofanyiwa Ally Kamwe na Mkuu wa Mkoa, kwa kushikiliwa kinyume na Sheria. Hakika hili taifa bado linawatu wajinga sana, Elimu ya Uraia waliikimbia. Ally Kamwe hana kosa kesheria, Aachiwe bila masharti.

Ndio umwambie kiongozi kavaa shati la ubatizo kwel 😆😆

Hv ww nani kakuambia kuwa mpira unatenganishwa na shughuli za maendeleo? Duniani soka sehemu ya mpira ni moja ya kiwanda kikuu cha mapato ya nchi. Na viongozi kama RC hawezi akakaa pembeni kutosimamia,kuratibu au kuhamasisha mpira mkoani mwake,nje ya hapo ni ukilaza katika DS

Kabisa, kaingia kwenye ulimwengu wa soka, na soka ndivyo lilivyo
