Loading video...
Video Failed to Load
Hatuutaki muungano
38,064 views • 11 months ago •via X (Twitter)
10 Comments

Tusaidiane kulipa deni la Taifa mkimaliza ndo tuvunje

Hapo ni vitukuu wameungana na wazazi wao kudai talaka ya bibi yao😂😂😂😂

Hata sisi watanganyika hatuutaki kabisaa bas tu hatuna budi

Wazanzibari hatujawahi kuutaka Muungano huu na wala hatujawahi kuuridhia Muungano huu, kilichokuwepo ni nguvu za CCM-Zanzibar kulazimisha kwa maslahi yao binafsi tu. Muungano tunaoutaka sie ni wa serikali tatu, Muungano wa mkataba.

Hata mm naona watanganyika hatuna faida yoyote na muungano zaidi ya kuwanufaisha wa zanzibar tu wao wa naweza kuwa marais wa muungano mawaziri makatibu wakuu wakurungezi wa miji bara lakini ss watangayika hatuwezi kuwa hivyo zanzibar muungano wa nn sasa No reforms no election

Kila upande unadai unaumia na muungano. Mimi sijawai ufurahia ila tugawane madeni kwanza alf ndio tuvunje hii ndoa ya muungano.

zanzibar sikuzote hawatak muungano sisi ndio huwa tunawagagania. ndio maana zanzibar siku akipita mpnzani na awe mzanzibar chakwanza watavunja muungano

Usikute huyu kazaliwa tandare kwa tumbo ila wazazi wake wakahamia huko znz leo hii anataka muungano uvunjwe hivi wanawake wa kislamu wamekumbwa na nn

Mbona hii ni tangu zamani, kama kuna watu wabinafsi na wabaguzi ni zanzibar, wauvunje tu

Hii imekuja baada ya viongozi kushindwa kuufuma vizuri muungano. Naamini watu wanataka muungano lakin muungano makini


