Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

38,064 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Sabrina winga
Sabrina wingavor 1 Jahr

Tusaidiane kulipa deni la Taifa mkimaliza ndo tuvunje

Profilbild von Shacks
Shacksvor 1 Jahr

Hapo ni vitukuu wameungana na wazazi wao kudai talaka ya bibi yao😂😂😂😂

Profilbild von Zanga zarara
Zanga zararavor 1 Jahr

Hata sisi watanganyika hatuutaki kabisaa bas tu hatuna budi

Profilbild von Abubakar Muhammad Said
Abubakar Muhammad Saidvor 1 Jahr

Wazanzibari hatujawahi kuutaka Muungano huu na wala hatujawahi kuuridhia Muungano huu, kilichokuwepo ni nguvu za CCM-Zanzibar kulazimisha kwa maslahi yao binafsi tu. Muungano tunaoutaka sie ni wa serikali tatu, Muungano wa mkataba.

Profilbild von Komatsu G
Komatsu Gvor 1 Jahr

Hata mm naona watanganyika hatuna faida yoyote na muungano zaidi ya kuwanufaisha wa zanzibar tu wao wa naweza kuwa marais wa muungano mawaziri makatibu wakuu wakurungezi wa miji bara lakini ss watangayika hatuwezi kuwa hivyo zanzibar muungano wa nn sasa No reforms no election

Profilbild von E_wushu
E_wushuvor 1 Jahr

Kila upande unadai unaumia na muungano. Mimi sijawai ufurahia ila tugawane madeni kwanza alf ndio tuvunje hii ndoa ya muungano.

Profilbild von Gaston Mboru
Gaston Mboruvor 1 Jahr

zanzibar sikuzote hawatak muungano sisi ndio huwa tunawagagania. ndio maana zanzibar siku akipita mpnzani na awe mzanzibar chakwanza watavunja muungano

Profilbild von Dady Joseph
Dady Josephvor 1 Jahr

Usikute huyu kazaliwa tandare kwa tumbo ila wazazi wake wakahamia huko znz leo hii anataka muungano uvunjwe hivi wanawake wa kislamu wamekumbwa na nn

Profilbild von Luka matete
Luka matetevor 1 Jahr

Mbona hii ni tangu zamani, kama kuna watu wabinafsi na wabaguzi ni zanzibar, wauvunje tu

Profilbild von Zingibermc
Zingibermcvor 1 Jahr

Hii imekuja baada ya viongozi kushindwa kuufuma vizuri muungano. Naamini watu wanataka muungano lakin muungano makini

Ähnliche Videos