Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Hatuutaki muungano

38,064 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Sabrina winga
Sabrina winga1 год назад

Tusaidiane kulipa deni la Taifa mkimaliza ndo tuvunje

Фото профиля Shacks
Shacks1 год назад

Hapo ni vitukuu wameungana na wazazi wao kudai talaka ya bibi yao😂😂😂😂

Фото профиля Zanga zarara
Zanga zarara1 год назад

Hata sisi watanganyika hatuutaki kabisaa bas tu hatuna budi

Фото профиля Abubakar Muhammad Said
Abubakar Muhammad Said1 год назад

Wazanzibari hatujawahi kuutaka Muungano huu na wala hatujawahi kuuridhia Muungano huu, kilichokuwepo ni nguvu za CCM-Zanzibar kulazimisha kwa maslahi yao binafsi tu. Muungano tunaoutaka sie ni wa serikali tatu, Muungano wa mkataba.

Фото профиля Komatsu G
Komatsu G1 год назад

Hata mm naona watanganyika hatuna faida yoyote na muungano zaidi ya kuwanufaisha wa zanzibar tu wao wa naweza kuwa marais wa muungano mawaziri makatibu wakuu wakurungezi wa miji bara lakini ss watangayika hatuwezi kuwa hivyo zanzibar muungano wa nn sasa No reforms no election

Фото профиля E_wushu
E_wushu1 год назад

Kila upande unadai unaumia na muungano. Mimi sijawai ufurahia ila tugawane madeni kwanza alf ndio tuvunje hii ndoa ya muungano.

Фото профиля Gaston Mboru
Gaston Mboru1 год назад

zanzibar sikuzote hawatak muungano sisi ndio huwa tunawagagania. ndio maana zanzibar siku akipita mpnzani na awe mzanzibar chakwanza watavunja muungano

Фото профиля Dady Joseph
Dady Joseph1 год назад

Usikute huyu kazaliwa tandare kwa tumbo ila wazazi wake wakahamia huko znz leo hii anataka muungano uvunjwe hivi wanawake wa kislamu wamekumbwa na nn

Фото профиля Luka matete
Luka matete1 год назад

Mbona hii ni tangu zamani, kama kuna watu wabinafsi na wabaguzi ni zanzibar, wauvunje tu

Фото профиля Zingibermc
Zingibermc1 год назад

Hii imekuja baada ya viongozi kushindwa kuufuma vizuri muungano. Naamini watu wanataka muungano lakin muungano makini

Похожие видео

Kaka Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Tanganyika unayozungumza ipo wapi? Rais wa Zanzibar yupo. Rais wa Zanzibar anaongoza serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Hujisikii fahari kuipigania Tanganyika? Tanganyika ambayo itakuwa na serikali yake kamili, serikali ambayo itasimamia masuala yote ya Tanganyika katika muungano. Au una hofu kwa kuwa ACT haijaenea vizuri Tanganyika? Tanganyika imetoa mamlaka yake yote kwa muungano, maana yake Raisi wa JMT ndio anasimamia. Sasa tuna Rais anatako Zanzibar, yeye anasimamia rasilimali zote za Tanganyika. Kama Rais wa Tanzania anaweza kutoka upande wowote wa muungano, kwanini Rais wa Zanzibar hawezi kutoka upande wowote wa Muungano? Je, Muungano huu ni wa upande mmoja tu? Katiba ya Muungano ipo, katiba ya Zanzibar ipo, katiba ya Tanganyika ipo wapi? Mambo ya Tanganyika yameelezwa na kuwekewa utaratibu katika katiba gani? Tanganyika yetu ipo wapi? Muungano huu ni wa kikatiba au kimkataba? Kama ni muungano wa kikatiba, katiba ya Tanganyika imefichwa wapi? Kama ni mkataba, mkataba wa Muungano umefichwa wapi? Zipo wizara katika serikali ya Muungano ambazo hazihusiki na masuala ya muungano lakini zinaongozwa na wazanzibari. Lakini hakuna Mtanganyika anaweza kuwa Waziri Zanzibar. Hii inakupendeza? Kwanini kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini siyo kila Mtanzania ni Mzanzibari? Kwanini mnaona kila anayehoji muundo wa Muungano anaeneza chuki? NB; OGOPA sana habari yako kuchapishwa na TBC.

Martin Maranja Masese

105,608 просмотров • 2 лет назад