Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Hawa watoto wako wapi?
67,883 Aufrufe • vor 2 Jahren •via X (Twitter)
10 Kommentare

𝟐𝟒𝐡𝐨𝐮𝐫𝐬 𝐨𝐟 𝐇𝐮𝐥𝐤_𝕏〽️™️vor 2 Jahren
chama cha mapinduzi hawakawii kutafuta mmoja baada ya mwingine asee…

mastervor 2 Jahren
Ila lowassa mganga wake alkuwa mkali nikikumbuka alivotua musoma town ilkuwa kama kaja nan sijui

Pabl Escbarvor 2 Jahren
Wanauza Mawese Kazuramimba..

Historia Yetuvor 2 Jahren
😂

POTIvor 2 Jahren
Wamepangwa ao wanaelewa nn kuhux mabadiliko

Sinandugu Kissailohvor 2 Jahren
Hahahahahaha rafudh ya waha hii

Sir Ndalusanze 🥇🛡vor 2 Jahren
Hawa ndio wakina apo walikua UWANJANI TP @CypherSmitRowe na @DixxonArt

PENDULUM BOBvor 2 Jahren
Madogo hao sasa hivi UVCMM

Claudi canigia 44vor 2 Jahren
Ndo wapiga kura wa sasa . Wana miaka 21 hao ujue

Eston Patrickvor 2 Jahren
HICHO NDICHO KILICHO MUANGUSHA HAYATI LOWASA MWAKA 2015 KWENYE UCHAGUZI, ALIKUA NA WAFUASI WENGI HASA VIJANA NA WATOTO, LAKINI WENGI WAO HAWAKUWA NA KITAMBULISHO CHA MPIGA KURA KWA KIGEZO CHA UMRI. _all in all_ R.I.P_ Mwamba.

