Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Haya ni Maajabu ya ligi yetu 😁
66,644 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

@privaldinho @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @SportsarenatzTz Maajabu mengine umeyasahau november 5 alianza manula ambaye alikua katoka injury ya miezi mingi na baada ya hiyo mechi akarudi benchi

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

@privaldinho @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @SportsarenatzTz Hahahaa kitu hikihiki kilitokea Novemba 5, 2023. Manura hakuwa kachezi zaidi ya miezi 10, akala mkono kisha akarudi benchi. Vipi hii haikuwashanhaza?

@privaldinho @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @SportsarenatzTz maajabu mengine yalitokea huku walitoa kipa namba moja wakaweka air Manula..

@privaldinho @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @SportsarenatzTz Hata nyie mlimuweka Manula mkamuacha Mwarabu , mkala 5

@privaldinho @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @SportsarenatzTz Kama ileeeee 5-1 Manula

@privaldinho @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @SportsarenatzTz Mkiendelea kufuatilia hii mipira ya Bongo hamutofikisha miaka50 ya kuishi

@privaldinho @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @SportsarenatzTz Kwani Yanga alikaa golini kipa no ngp au nao walitaka kuuza mechi?

@privaldinho @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @SportsarenatzTz Jana Fountain gate wamemchezesha mtenje namba mbili wkt kiasili ni namba sita huku shiga akianzia benchi wkt ndo mwny namba mbili yke na wamemsajil kwa kaz iyo

@privaldinho @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @SportsarenatzTz Yanga pia baada ya kuhakikisha imepitwa na Simba ndio imeanza kumchezesha kibwana. Ukweli ilipewa bahasha ili Nkane acheze tatu. Na ndio maana KATIKA GOLI 15 timu ya watakatifu INAMAGOLI 12 ya penalty 🤣🤣🤣! Team ya wachambuzi bwana 🤣🤣

@privaldinho @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @SportsarenatzTz Manula alivyokula goli 5 na Yanga alidaka mechi ngapi kabla?
