Loading video...
Video Failed to Load
Here we go. BBT component 2- BBT Financing ☑️ tunaendelea #BajetiYaWakulima
15,382 views • 2 years ago •via X (Twitter)
10 Comments

Haya malengo ya BBT ni mazuri mno Kwa mustakabali wa kilimo chetu endepo yakifanikiwa. Hivyo juhudi ziongwezwe kutatua Kwa haraka changamoto ndogo ndogo .. #BajetiYaWakulima

Kaka, TABORA inahitaji kituo cha NFRA, pia wakulima wanahitaji kujua bei ya mahindi & mpunga anbayo NFRA watanunulia

Tumepokea Kaka

Sema bash uwa nakuelewa Sana mzee baba

Shukrani sana Mzazi

Hongera sana waziri @HusseinBashe for incredible performance in this industry .

Mheshimiwa huu mpango wa BBT Vipi kuhusu sisi wafugaji (kuku)?

Ipo vipi kwa mkulima kuusu namba ya luzuku yakuchukulia mbolea uyu mwananchi akiipoteza iyo namba kwa baati mbaya kuipata inakuaje waziri🙏

@HusseinBashe mm ni kijana,nina ardhi ya heka 4,sina ujuzi wa kilimo kabisa japo nimelimisha vibarua mwaka jana mihogo heka moja nimevuna tayari, Nahitaji nijiendeleze kweny kilimo na nijikite huko,ni hatua gan za kuchukua nifikie lengo au ni wapi naweza pata msaada zaidi?

#BajetiYaWakulima




