Sensitive content

This media may contain sensitive content.

正在加载视频...

视频加载失败

780,691 次观看 • 2 年前 •via X (Twitter)

8 条评论

mehmet eskici 的头像
mehmet eskici2 年前

Ne kadar bilinçsiz sadece fiyata odaklı,pahalı olunca kaliteli diye düşünen bir tüketici toplum olduğumuzun bir ispatı

Merdümgiriz 的头像
Merdümgiriz2 年前

Bunun adı Chivas regal efekti arkadaşlar. Orta Doğu kültürüne sahip bir çok kadın kendi ezikliğini ve yetersizliğini bu tür şeylerle tamamlamaya çalışır. Uzak durun hatta görürseniz kıçlarına tekmeyi vurun geçin

GalatAslanı 的头像
GalatAslanı2 年前

Uzak durulması gereken insan

𝕿𝖚𝖈𝖔 的头像
𝕿𝖚𝖈𝖔2 年前

Zalımsınız kadınlar

Mehmet 的头像
Mehmet2 年前

Bir gün yeni bir ayakkabı aldım, eve geldim. Fiyatını soran kardeşime 300 lira dedim. Çok beğendiğini söyledi. Üç gün sonra gerçek fiyatını söyledim. 100 lira. O kadar da güzel değilmiş demişti.😀

Cbc İnşaat 的头像
Cbc İnşaat2 年前

Ne kadar iğrenç bi tablo gerizakaliliktan başka birşey değil

GÜNDEM⚖️🦅♉ 的头像
GÜNDEM⚖️🦅♉2 年前

Fiyata bakıp kalite kararı veren ablam. Sen kapitalizmin en büyük neferisin. Belki fiyatı yüksek olan daha kaliteli ama asla araştırmadan balıklama nasıl da atlıyorsun etikete. 🥹

Cevahir 🐦 的头像
Cevahir 🐦2 年前

Leğenin dışında her şey lüks bu kadına

相关视频

Mapema leo katika Shule ya Polisi Tanzania, Moshi mkoani Kilimanjaro niliposhiriki Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Jeshi letu limepiga hatua kubwa katika kipindi cha miaka 60. Nimeendelea kusisitiza kwamba huduma bora za kipolisi kwa umma wa Watanzania zitatokana na kubadilika kifikra, usimamizi wa sheria na matumizi ya TEHAMA. Serikali itaendelea na kazi ya kulijengea uwezo kimiongozo na kibajeti. Kazi ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao ikiwemo haki ya uhai ambayo inalindwa na Katiba yetu. Kote duniani kupokwa kwa haki ya uhai hukemewa na Serikali na kuhakikisha vyombo vyake vya ulinzi na usalama vinafanya uchunguzi na kupata majawabu, kama ambavyo nchi yetu pia inafanya. Maisha ya mwanadamu yeyote yule yana thamani isiyomithilika. Katika hali yoyote ile uhai wa mwanadamu ni jambo adhimu sana. Uhai wa kila Mtanzania unalindwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama inavyoeleza katika Ibara ya 14. Hatuhitaji kuelekezwa na mtu yeyote jinsi ya kutekeleza jukumu hili kwani Katiba yetu tayari ina maelekezo ya kutosha. Kama Amiri Jeshi Mkuu nimeapa kuilinda Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ndani yake ipo haki ya kuishi, na kwamba nitafanya kila linalowezekana kuimarisha ulinzi na uhai wa kila Mtanzania. Katika hili sina muhali. Falsafa yetu ya 4R inalenga kutuleta pamoja zaidi kama Watanzania na si mwanya wa kuvunja sheria zetu na kuifarakanisha nchi yetu. Huku Serikali na vyombo ya ulinzi na usalama vikiendelea kutekeleza jukumu lake la kulinda haki hii ya uhai, kama jamii kwa sauti moja tuendelee kukemea na kujali damu ya kila Mtanzania kwa uzito ule ule bila kujali ni nani, anatoka wapi, ama kundi gani. Uhai ni uhai. Tukemee pia uovu wa aina zote katika jamii yetu ikiwemo wale wanaopanga kuvuruga amani ya nchi yetu.

Samia Suluhu

123,842 次观看 • 1 年前

Nayanthara 🛐🔥
0:24

Sensitive content

Nayanthara 🛐🔥

JDeditz

22,876 次观看 • 6 天前