Loading video...
Video Failed to Load
Hii story inasikitisha sana.
90,819 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Nchi yetu bado inatakiwa kufanya juhudu zaidi, katika aina ya watu hawa disability , ambao wana uwezo mkubwa bado wa kusaidia taifa. Kama miundo mbinu ingekua rafiki pia sehemu ambayo anaishi na kuweza kutembea, hata kwenye public transport na kigari chake

Hakuna namba yake tumtumie chochote kitu kwaresma hii??

take the journey

Hawa ndo watu wa kusaidiwa jamani..ila pesa ndo zinamilikiwa na machawa

Kwani hawezi kua afisa elimu akiwa mlemavu why? Inasikitisha

Huyu wangemtoa kufundisha darasani wakamupa kitengo huko halmashauri hata masijara kuliko kumuacha darasani anasumbuka na chaki tatizo watu hatuna huruma.

Moja ya right ya "Human Right" katika kazi ni "right/duty to acommodate" hapa ndipo shirika linatakiwa lipige kelele na kusaidia watumishi ila akitukanwa feminist linakuna na waraka mrefu kuliko ule wa maaskofu Pumbavu zenu "Human Right Tanzania"

Lkn bado ni mwalimu, mbona analipwa kama day worker??

Ni mwalimu ndio, lakini pesa ya mshahara haitoshi.

Kwan hawez kuendelea kuwa afisa elimu na ulemvu wake huo

I hope president @SuluhuSamia will see this and accelerate action towards helping him 🙏🏿
