Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Hii story inasikitisha sana.

90,819 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Biubwa Omar's profile picture
Biubwa Omar1 year ago

Nchi yetu bado inatakiwa kufanya juhudu zaidi, katika aina ya watu hawa disability , ambao wana uwezo mkubwa bado wa kusaidia taifa. Kama miundo mbinu ingekua rafiki pia sehemu ambayo anaishi na kuweza kutembea, hata kwenye public transport na kigari chake

Isabela's profile picture
Isabela1 year ago

Hakuna namba yake tumtumie chochote kitu kwaresma hii??

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

take the journey

Man2Man's profile picture
Man2Man1 year ago

Hawa ndo watu wa kusaidiwa jamani..ila pesa ndo zinamilikiwa na machawa

Wabi Sabi's profile picture
Wabi Sabi1 year ago

Kwani hawezi kua afisa elimu akiwa mlemavu why? Inasikitisha

MAGRETH MASHAURI's profile picture
MAGRETH MASHAURI1 year ago

Huyu wangemtoa kufundisha darasani wakamupa kitengo huko halmashauri hata masijara kuliko kumuacha darasani anasumbuka na chaki tatizo watu hatuna huruma.

Wise Man's profile picture
Wise Man1 year ago

Moja ya right ya "Human Right" katika kazi ni "right/duty to acommodate" hapa ndipo shirika linatakiwa lipige kelele na kusaidia watumishi ila akitukanwa feminist linakuna na waraka mrefu kuliko ule wa maaskofu Pumbavu zenu "Human Right Tanzania"

Mkulima's profile picture
Mkulima1 year ago

Lkn bado ni mwalimu, mbona analipwa kama day worker??

M A G I R I's profile picture
M A G I R I1 year ago

Ni mwalimu ndio, lakini pesa ya mshahara haitoshi.

Nchomari's profile picture
Nchomari1 year ago

Kwan hawez kuendelea kuwa afisa elimu na ulemvu wake huo

Rahab Mbise's profile picture
Rahab Mbise1 year ago

I hope president @SuluhuSamia will see this and accelerate action towards helping him 🙏🏿

Related Videos