正在加载视频...
视频加载失败
Hii ukweli wengi hawataki usikia.
66,896 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
10 条评论

Maisha Tz ni rahisi kuliko UK kwa Muingereza kwa Mtz UK maisha ni rahisi zaidi nisikilize mimi 😀😀😀

Uju Aaache kutanganya watu hapa au uKo UK anaishi pekeyake. .ulaya pagumu kama ufanyi kazi hapa kwetu hata izo kazi hakuna

Sio kweli bro Acha kuwadanganya watu ukiwa haujawahi kuishi UK. TZ maisha magumu unaamka hauna uhakika wa lolote ata ukiumwa hauna uhakika wa matibabu. UK unauhakika wa matibabu, makazi na uhakika wa kupata pesa kuendesha maisha ila kusave kwa maendeleo ndio ngumu.

Ukifanya ulinganishi wa vitu vinavyouzwa uk na Tz lazima uone Uk kugumu ila unakuta mtu uk analipwa pound 2500 kwa mwezi kwa kazi ya pound 180 Tz ulaya ukichapa kazi na una ujuzi huezi ona maisha magumu Tofauti na Tz hata uwe una ujuzi unaeza usipate maokoto au kazi

Kuna vijana wa CDM walikuwa wanasema wakenya wana maisha mazuri kuliko Tanzania. Nikashangaa, ila leter on nikagundua hawajawahi kutoka nnje ya nyumbani....

Sio kwa Mtanzania wa Kawaida ! Watanzania wengi ambao wanaenda Nje ya Nchi maisha yao ni above average, na hata wanakuja huku kama ‘expert’ hawawezi pitia ambacho Mtanzania wa kawaida anapitia..!! They can say tat !!

Umasikini wao hasa sio pesa. Ni utu ndio hamna huko. Sisemi ni matajiri, lakini maisha ya tz na huko bado yatabaki kuwa tofauti maana kila kitu kimepangiliwa. Ukiingia katika mfumo wao kila kitu safi. Ukiwa nje ya mfumo basi utateseka. Mfumo: Kazi Nyumba na vibali.

Akifika tu siku ya 1, atagongewa mlango, wakimhitaji atoke nje.

Kama tunavodai tume uhuru ww unapiga kwasababu ww nichawa naheche akisema kunawatu wanataka kunikamata bila kosa ww hubisha ila Leo ww unasema maneno haya au leo ndoumejuwa

Gari la $1000 Japan Huku ni $7000
相关视频
Kama hii ina ukweli basi Africa tuna TATIZO kubwa sana. Hatuna uchaguzi.
Baba Mwita
43,034 次观看 • 5 个月前
