Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Huko Dodoma kumewaka mbaya.
134,002 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

Aisha Madoga Unstoppable huyu akiwa Mbunge wa Dodoma atawatumikia vyema Wakazi wa Dodoma. She deserves to be in parliament

Hawa ndio viongozi tunao wataka sisi huyu dada tutatafuta namna ya kumpongeza kwa alichokifanya

Hawa akina mama wamenipa morali ya hatari, natamani kuingia barabarani hata peke yangu

Kesho tutasahau kilichotokea na maisha yanasonga kama kawaida. Waliolamba asali kukubali kuingia katika uchafuzi wa serikali za mitaa wanaweka miguu juu maisha yanaendelea kama vile hakuna kilichotokea!

Wanaume wote mngekuwa kama huyu mama...hakika nzi wa kijan wangesarenda

Tunahitaji kuwa na ujasiri kama huo .MACCM yanaogopa sanduku la kura kama kitanda change kunguni Ni itarahamwe fuck ccm

Chama kinachojinasibu kuwa kinapendwa na kimeleta maendeleo, lakini kinategemea kuiba kura, kuvuruga uchaguzi, na kutumia vitisho vya kuteka na kuua watu, ni aibu kubwa kwa taifa letu. Upendo wa kweli wa wananchi hauhitaji mbavu.

Unakuta hapo huyo msimamizi wamemlaghai kwa vipande vya pesa hata milioni moja havifiki ila anauza wananchi wateseke kwa miaka mitano kmmk nchi hii wasaliti tunaishi nao mtaani so sad.

Uyo askali mbona kapoa hivo apewe heshima anafata taratibu.🤣

Huyu mama ni kiongozi haswaaa nmependa ujasiri wake
Benzer Videolar
Sensitive content
#UlizaDADAZ Dada yetu kutoka huko dodoma ameweka wazi changamoto yake kubwa anayoipitia kwenye ndoa yake ni mume wake kutokua vizuri kitandani Hosts Bhoke Nia Egina @msnajmapaul @mwanneothmankamby #DADAZ #EastAfricaTV #HainaKuchoka
EastAfricaTV
71,965 görüntüleme • 1 yıl önce
