Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Huko Dodoma kumewaka mbaya.

134,002 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

Ozabanga profil fotoğrafı
Ozabanga1 yıl önce

Aisha Madoga Unstoppable huyu akiwa Mbunge wa Dodoma atawatumikia vyema Wakazi wa Dodoma. She deserves to be in parliament

#TAL profil fotoğrafı
#TAL1 yıl önce

Hawa ndio viongozi tunao wataka sisi huyu dada tutatafuta namna ya kumpongeza kwa alichokifanya

Emanuel Muna profil fotoğrafı
Emanuel Muna1 yıl önce

Hawa akina mama wamenipa morali ya hatari, natamani kuingia barabarani hata peke yangu

Sir Major profil fotoğrafı
Sir Major1 yıl önce

Kesho tutasahau kilichotokea na maisha yanasonga kama kawaida. Waliolamba asali kukubali kuingia katika uchafuzi wa serikali za mitaa wanaweka miguu juu maisha yanaendelea kama vile hakuna kilichotokea!

T 🅰️ N Z 🅰️ G I Z 🅰️ profil fotoğrafı
T 🅰️ N Z 🅰️ G I Z 🅰️1 yıl önce

Wanaume wote mngekuwa kama huyu mama...hakika nzi wa kijan wangesarenda

Thesophist profil fotoğrafı
Thesophist1 yıl önce

Tunahitaji kuwa na ujasiri kama huo .MACCM yanaogopa sanduku la kura kama kitanda change kunguni Ni itarahamwe fuck ccm

Kunta Kinte profil fotoğrafı
Kunta Kinte1 yıl önce

Chama kinachojinasibu kuwa kinapendwa na kimeleta maendeleo, lakini kinategemea kuiba kura, kuvuruga uchaguzi, na kutumia vitisho vya kuteka na kuua watu, ni aibu kubwa kwa taifa letu. Upendo wa kweli wa wananchi hauhitaji mbavu.

Tom profil fotoğrafı
Tom1 yıl önce

Unakuta hapo huyo msimamizi wamemlaghai kwa vipande vya pesa hata milioni moja havifiki ila anauza wananchi wateseke kwa miaka mitano kmmk nchi hii wasaliti tunaishi nao mtaani so sad.

Mauwezo_Jr profil fotoğrafı
Mauwezo_Jr1 yıl önce

Uyo askali mbona kapoa hivo apewe heshima anafata taratibu.🤣

Gobos profil fotoğrafı
Gobos1 yıl önce

Huyu mama ni kiongozi haswaaa nmependa ujasiri wake

Benzer Videolar