Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Huko Dodoma kumewaka mbaya.

134,006 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Ozabanga's profile picture
Ozabanga1 year ago

Aisha Madoga Unstoppable huyu akiwa Mbunge wa Dodoma atawatumikia vyema Wakazi wa Dodoma. She deserves to be in parliament

#TAL's profile picture
#TAL1 year ago

Hawa ndio viongozi tunao wataka sisi huyu dada tutatafuta namna ya kumpongeza kwa alichokifanya

Emanuel Muna's profile picture
Emanuel Muna1 year ago

Hawa akina mama wamenipa morali ya hatari, natamani kuingia barabarani hata peke yangu

Sir Major's profile picture
Sir Major1 year ago

Kesho tutasahau kilichotokea na maisha yanasonga kama kawaida. Waliolamba asali kukubali kuingia katika uchafuzi wa serikali za mitaa wanaweka miguu juu maisha yanaendelea kama vile hakuna kilichotokea!

T 🅰️ N Z 🅰️ G I Z 🅰️'s profile picture
T 🅰️ N Z 🅰️ G I Z 🅰️1 year ago

Wanaume wote mngekuwa kama huyu mama...hakika nzi wa kijan wangesarenda

Thesophist's profile picture
Thesophist1 year ago

Tunahitaji kuwa na ujasiri kama huo .MACCM yanaogopa sanduku la kura kama kitanda change kunguni Ni itarahamwe fuck ccm

Kunta Kinte's profile picture
Kunta Kinte1 year ago

Chama kinachojinasibu kuwa kinapendwa na kimeleta maendeleo, lakini kinategemea kuiba kura, kuvuruga uchaguzi, na kutumia vitisho vya kuteka na kuua watu, ni aibu kubwa kwa taifa letu. Upendo wa kweli wa wananchi hauhitaji mbavu.

Tom's profile picture
Tom1 year ago

Unakuta hapo huyo msimamizi wamemlaghai kwa vipande vya pesa hata milioni moja havifiki ila anauza wananchi wateseke kwa miaka mitano kmmk nchi hii wasaliti tunaishi nao mtaani so sad.

Mauwezo_Jr's profile picture
Mauwezo_Jr1 year ago

Uyo askali mbona kapoa hivo apewe heshima anafata taratibu.🤣

Gobos's profile picture
Gobos1 year ago

Huyu mama ni kiongozi haswaaa nmependa ujasiri wake

Related Videos