Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Huko Dodoma kumewaka mbaya.

134,006 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Ozabanga
Ozabanga1 год назад

Aisha Madoga Unstoppable huyu akiwa Mbunge wa Dodoma atawatumikia vyema Wakazi wa Dodoma. She deserves to be in parliament

Фото профиля #TAL
#TAL1 год назад

Hawa ndio viongozi tunao wataka sisi huyu dada tutatafuta namna ya kumpongeza kwa alichokifanya

Фото профиля Emanuel Muna
Emanuel Muna1 год назад

Hawa akina mama wamenipa morali ya hatari, natamani kuingia barabarani hata peke yangu

Фото профиля Sir Major
Sir Major1 год назад

Kesho tutasahau kilichotokea na maisha yanasonga kama kawaida. Waliolamba asali kukubali kuingia katika uchafuzi wa serikali za mitaa wanaweka miguu juu maisha yanaendelea kama vile hakuna kilichotokea!

Фото профиля T 🅰️ N Z 🅰️ G I Z 🅰️
T 🅰️ N Z 🅰️ G I Z 🅰️1 год назад

Wanaume wote mngekuwa kama huyu mama...hakika nzi wa kijan wangesarenda

Фото профиля Thesophist
Thesophist1 год назад

Tunahitaji kuwa na ujasiri kama huo .MACCM yanaogopa sanduku la kura kama kitanda change kunguni Ni itarahamwe fuck ccm

Фото профиля Kunta Kinte
Kunta Kinte1 год назад

Chama kinachojinasibu kuwa kinapendwa na kimeleta maendeleo, lakini kinategemea kuiba kura, kuvuruga uchaguzi, na kutumia vitisho vya kuteka na kuua watu, ni aibu kubwa kwa taifa letu. Upendo wa kweli wa wananchi hauhitaji mbavu.

Фото профиля Tom
Tom1 год назад

Unakuta hapo huyo msimamizi wamemlaghai kwa vipande vya pesa hata milioni moja havifiki ila anauza wananchi wateseke kwa miaka mitano kmmk nchi hii wasaliti tunaishi nao mtaani so sad.

Фото профиля Mauwezo_Jr
Mauwezo_Jr1 год назад

Uyo askali mbona kapoa hivo apewe heshima anafata taratibu.🤣

Фото профиля Gobos
Gobos1 год назад

Huyu mama ni kiongozi haswaaa nmependa ujasiri wake

Похожие видео