Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Huruma sana Dada Simu imeenda.
72,920 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Kwani hauoni kuna tamthilia wanashoot

Michezo…Hakuna Mwizi anayemendea dizaini hiyo.

Kwa uzoefu wangu wa kuibiwa hii ni content wez huwa wanatokea kwa nyuma na hakimbilii upande huo huo lazima apande piki piki chap, maana hapo ukiita mwiz magomen kwa mguu hatoboi..,! Hii content.!

Alikuwa anadhani anataka kumtongoza akajishaua

Sio kweli . Mwizi wa kwenye foleni haibi kutokea mbele hata siku moja .

Kwa jinsi video ilivyo huyo jamaa mwenye tshirt nyeupe ndio mchora ramami na mpiga rada wa mwizi.

Lakini bulikia unaiwezo wa kuzuia listokee ila roho mbaya ikakufanya uchukue tu content

Script nzuri sana hii cut aaaaction😂

Wezi wanatokea kwa nyuma mzee, hii ni content tu😂

Madem weng hii ndo tabia yao yan acha waibiwe tu
