Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Huu wizi balaaa๐ฅน
13,135 Aufrufe โข vor 1 Jahr โขvia X (Twitter)
10 Kommentare

CARGOโญ๐vor 1 Jahr
CCTV ni muhimu kwenye biashara zetu

Van Merseyvor 1 Jahr
Ndio maana wezi wanapigwa bila huruma

Ambele Youngvor 1 Jahr
Aiseee hawa watu wanarudisha nyuma sana maendeleo ya wengine.

Fumbo Khanvor 1 Jahr
Janja alikuwa hajui Kama kuna camera

Masaliavor 1 Jahr
Kwa nini mtu anaweka geti jepesi kiasi cha kuvutwa tu kwa mikono? Kuna uzembe fulani hapo kwa upande wa mwenye biashara

AK47vor 1 Jahr
Aseee wizi unarudisha maendeleo nyuma

Quintone Mwapevor 1 Jahr
Hilo ni geti au pazia? Camera imesaidia nini sasa!! Ukivaa mask, miwani na cap cctv camera ni takataka tu

๐ต๐จ๐ฉ๐ฌ๐ฌ๐ณvor 1 Jahr
Dah mwizi nomaaa

Shamba Boyvor 1 Jahr
Inatia huruma aisee, hii sio sawa kabisaa huku ni kurudishana nyuma kimaisha

captainvor 1 Jahr
Watu ni wazi sana wawe makini
