Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

13,135 views โ€ข 1 year ago โ€ขvia X (Twitter)

10 Comments

CARGOโญ๐ŸŒ's profile picture
CARGOโญ๐ŸŒ1 year ago

CCTV ni muhimu kwenye biashara zetu

Van Mersey's profile picture
Van Mersey1 year ago

Ndio maana wezi wanapigwa bila huruma

Ambele Young's profile picture
Ambele Young1 year ago

Aiseee hawa watu wanarudisha nyuma sana maendeleo ya wengine.

Fumbo Khan's profile picture
Fumbo Khan1 year ago

Janja alikuwa hajui Kama kuna camera

Masalia's profile picture
Masalia1 year ago

Kwa nini mtu anaweka geti jepesi kiasi cha kuvutwa tu kwa mikono? Kuna uzembe fulani hapo kwa upande wa mwenye biashara

AK47's profile picture
AK471 year ago

Aseee wizi unarudisha maendeleo nyuma

Quintone Mwape's profile picture
Quintone Mwape1 year ago

Hilo ni geti au pazia? Camera imesaidia nini sasa!! Ukivaa mask, miwani na cap cctv camera ni takataka tu

๐‘ต๐‘จ๐‘ฉ๐‘ฌ๐‘ฌ๐‘ณ's profile picture
๐‘ต๐‘จ๐‘ฉ๐‘ฌ๐‘ฌ๐‘ณ1 year ago

Dah mwizi nomaaa

Shamba Boy's profile picture
Shamba Boy1 year ago

Inatia huruma aisee, hii sio sawa kabisaa huku ni kurudishana nyuma kimaisha

captain's profile picture
captain1 year ago

Watu ni wazi sana wawe makini

Related Videos