Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Huu wizi balaaa🥹
13,135 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

CARGO⭐🌍1 год назад
CCTV ni muhimu kwenye biashara zetu

Van Mersey1 год назад
Ndio maana wezi wanapigwa bila huruma

Ambele Young1 год назад
Aiseee hawa watu wanarudisha nyuma sana maendeleo ya wengine.

Fumbo Khan1 год назад
Janja alikuwa hajui Kama kuna camera

Masalia1 год назад
Kwa nini mtu anaweka geti jepesi kiasi cha kuvutwa tu kwa mikono? Kuna uzembe fulani hapo kwa upande wa mwenye biashara

AK471 год назад
Aseee wizi unarudisha maendeleo nyuma

Quintone Mwape1 год назад
Hilo ni geti au pazia? Camera imesaidia nini sasa!! Ukivaa mask, miwani na cap cctv camera ni takataka tu

𝑵𝑨𝑩𝑬𝑬𝑳1 год назад
Dah mwizi nomaaa

Shamba Boy1 год назад
Inatia huruma aisee, hii sio sawa kabisaa huku ni kurudishana nyuma kimaisha

captain1 год назад
Watu ni wazi sana wawe makini
