Sensitive content
This media may contain sensitive content.
Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Huyu Dereva wa Crown ameniangusha sana
127,051 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
10 Kommentare

chumavor 1 Jahr
Hizo kona hana ujanja wa kuovertake, usalama muhimu

Adventure-360vor 1 Jahr
Saana

SAIDvor 1 Jahr
Mbinga -mbamba bey Usiombe ufate makaa ya mawe njia hiyo🙌🙌

Adventure-360vor 1 Jahr
Yaan

Vitus Nkunavor 1 Jahr
Crown gari ya kawaida Kaka, hapo ata wampe dakika 15 mbele anapitwa. Ni vile ni gari pendwa ya vijana inapewa sifa ata ambazo haina. Kwa mbio uongo😁

Adventure-360vor 1 Jahr
Kiongozi 😀👀

clevance adamvor 1 Jahr
Kumbe ww ndo unae chochea ajali home boy

Adventure-360vor 1 Jahr
👀

Mighovor 1 Jahr
Hii mbinga kwenda mbambabay

Adventure-360vor 1 Jahr
Naam
Ähnliche Videos
Mpumbavu sana huyu na mtu hatari kwa usalama wa Nchi.
Godbless E.J. Lema
69,731 Aufrufe • vor 2 Jahren
0:57
Sensitive content
PAUL KAGAME: Unajua Felix Tshisekedi alikuwa dereva tax mwenye sifa mbaya sana huko ubelgiji, Aliajiriwa na mtaliano mmoja katika mgahawa wa kuuza piza, jamaa huyo sasa ni mzee, Kagame anasema, yule mzee aliposikia Felix amekuwa Rais akashangaa sana, akasema huyu jamaa ambaye hakuweza hata (kudeliver) pizza amewezaje kuwa Rais wa Nchi..? Ila siasa bhana dah😀😀
Edwin Odemba
206,263 Aufrufe • vor 1 Jahr
