Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Huyu nae bhana🙌

41,487 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля PaYRoLL🪙
PaYRoLL🪙1 год назад

"Mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili ukawafunulia watoto wachanga. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza mbele zako." Mathayo 11: 25-26

Фото профиля Chaz Murimi 🇹🇿🇰🇪🇺🇸🇺🇦🇮🇱
Chaz Murimi 🇹🇿🇰🇪🇺🇸🇺🇦🇮🇱1 год назад

Yesu ni mwana wa MUNGU. Yaani nafsi tatu BABA/MWANA &ROHO MTAKATIFU. Yesu anasema mimi na baba tu washirika na hakuna atakayefika kwa baba bila kupita kwangu mimi ni nguzo na njia ya uzima.

Фото профиля Jack Jack
Jack Jack1 год назад

Yupo sawa yesu siyo Mungu ata siku moja

Фото профиля BORA KAFA aka BOB MAZISHI.
BORA KAFA aka BOB MAZISHI.1 год назад

Mwandambo sio ww tu unae choka, tuko wengi.. maswali ni mengi sana 🤪🤪

Фото профиля Milestone~Otana🇹🇿
Milestone~Otana🇹🇿1 год назад

Mpumbavu huyu. Hayasoma neno akalielewa anaongea pumba tu kwasababu amepata smartphone uzeeni.

Фото профиля Abduce
Abduce2 лет назад

You know it's time for something else when: ⬜⬜🟨⬜⬜ ⬜🟨🟨⬜⬜ ⬜🟨🟨🟨⬜ 🟨🟨🟨🟨⬜ 🟨🟨🟨🟨🟨 🟨🟨🟩🟨🟨 🟨🟩🟩🟨🟨 🟨🟩🟩🟩🟨 🟩🟩🟩🟩🟨 🟩🟩🟩🟩⬛

Фото профиля ..MtamaDuni..
..MtamaDuni..1 год назад

Yesu alijizolea umaaruf tu kama Mwanamalundi wapo sawa wote.

Фото профиля Tonnie Venance
Tonnie Venance1 год назад

Ninauhakika haelewi ata amepost nni alokua anayaongea

Фото профиля MUNIRA
MUNIRA1 год назад

Hapo Mimi nimemuelewa vizuri, ila kama unahitajn kuujua ukweli, ukweli ndio huu, UUNGU wa YESU unasintofahamu, kiufupi YESU ni mtu, sio MUNGU kama wengine wanavyodai

Фото профиля DUM@H
DUM@H1 год назад

😅😅😅daah

Фото профиля Jk
Jk1 год назад

Ability yake sio nzuri

Похожие видео