Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Huyu nae bhana🙌
41,487 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

"Mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili ukawafunulia watoto wachanga. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza mbele zako." Mathayo 11: 25-26

Yesu ni mwana wa MUNGU. Yaani nafsi tatu BABA/MWANA &ROHO MTAKATIFU. Yesu anasema mimi na baba tu washirika na hakuna atakayefika kwa baba bila kupita kwangu mimi ni nguzo na njia ya uzima.

Yupo sawa yesu siyo Mungu ata siku moja

Mwandambo sio ww tu unae choka, tuko wengi.. maswali ni mengi sana 🤪🤪

Mpumbavu huyu. Hayasoma neno akalielewa anaongea pumba tu kwasababu amepata smartphone uzeeni.

You know it's time for something else when: ⬜⬜🟨⬜⬜ ⬜🟨🟨⬜⬜ ⬜🟨🟨🟨⬜ 🟨🟨🟨🟨⬜ 🟨🟨🟨🟨🟨 🟨🟨🟩🟨🟨 🟨🟩🟩🟨🟨 🟨🟩🟩🟩🟨 🟩🟩🟩🟩🟨 🟩🟩🟩🟩⬛

Yesu alijizolea umaaruf tu kama Mwanamalundi wapo sawa wote.

Ninauhakika haelewi ata amepost nni alokua anayaongea

Hapo Mimi nimemuelewa vizuri, ila kama unahitajn kuujua ukweli, ukweli ndio huu, UUNGU wa YESU unasintofahamu, kiufupi YESU ni mtu, sio MUNGU kama wengine wanavyodai

😅😅😅daah

Ability yake sio nzuri
Похожие видео
Sensitive content
Kama mke wako amemfollow huyu Dada, achana nae ukipuuzia hutoamini kitakachokukuta.
Mfalme👑🇹🇿
53,472 просмотров • 1 год назад
