ๆญฃๅจๅ ่ฝฝ่ง้ข...
่ง้ขๅ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ
I leave it here ๐
31,227 ๆฌก่ง็ โข 1 ๅนดๅ โขvia X (Twitter)
11 ๆก่ฏ่ฎบ

๐
๐๐ซ๐๐ฃ๐1 ๅนดๅ
Kuna ukweli ndani yake. Wakaangalie vyoo vya mlimani pale ๐.

Mganga mfawidhi1 ๅนดๅ
Udom ndo balaa ๐๐๐

Michaelson1 ๅนดๅ
I sadly agree with him ๐ฅบ

Rasta1 ๅนดๅ
Huyu kijana ni mdogo lakini ana akili nyingi sana. He oozes gems like a true sage.

๐ฅ๐ฃ๐ ๐ฆ๐๐๐๐๐๐๐น๐ฟ1 ๅนดๅ
Uwongo "nimezunguka vyuo vyote Tanzania"

February1 ๅนดๅ
Jamaa kaongea facts sana. Mwaka fulani niliwahi kuta mgogoro chuo cha wachungaji Dodoma, na tatizo ilikua mzigo umeachwa toilet. Nikajiuliza hata hawa? ๐

Ladis Mulokozi1 ๅนดๅ
Nakubaliana naye .

Mganga mfawidhi1 ๅนดๅ
Ana hoja

Ms.Shuwea1 ๅนดๅ
Enheee๐๐๐๐

J. O. H1 ๅนดๅ
Jamaa anajua kusikiliza "lazima awe mwizi"๐

Mganga mfawidhi1 ๅนดๅ
Si ndiyo ๐
