Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

Ila hii nchi🙌🏿😂😂

60,531 Aufrufe • vor 2 Jahren •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Fundi Bomba
Fundi Bombavor 2 Jahren

Yupo sahihi maana mkono una enzems wa kumeng'enya chakula na ndio maana chakula kilichopikwa kinawahi kuchacha endapo ukikigusa kwa mkono

Profilbild von Sulwa Kayandema
Sulwa Kayandemavor 2 Jahren

Astaghafilillah! Mbona kama ana hoja vile. Asipuuzwe huyu 😎😎

Profilbild von 09Vato
09Vatovor 2 Jahren

Sayansi inasema wazi Hakuna Enzymes Zozote mikononi. Enzymes ziko mdomoni. Ule kwa mkono, kijiko, au miguu umeng'enyaji wa chakula unaanzia Mdomoni. Huyu atakuwa dk wa tiba za asili

Profilbild von Abasi
Abasivor 2 Jahren

Yuko sahihi

Profilbild von Charles Gavachu
Charles Gavachuvor 2 Jahren

Ndevu kama katuni la mario

Profilbild von Dr. Abdul
Dr. Abdulvor 2 Jahren

@KigumeR @safarihamidpro wazee hizo slide ndo zile mlikataa kunitumia

Profilbild von HUNTER NKG Jr GAA ♉
HUNTER NKG Jr GAA ♉vor 2 Jahren

Cheki alivyo na sharubu zake

Profilbild von MedKali MD
MedKali MDvor 2 Jahren

Hivi kwann watu wa media wanawapa nafasi watu kama hao wasiokuwa na taaluma!? Wanaongea vitu vya hovyo tu, yaani wanatia doa sekta ya afya

Profilbild von MoKatulla✍🏾
MoKatulla✍🏾vor 2 Jahren

Mtu akishakua na visharubu kama Kambale mwenye madeni lazima awe na shida mahala😂

Profilbild von Granit
Granitvor 2 Jahren

Ushauri wake ni mzuri ila sisi tunaopenda SUPU ndo tunaumiza kichwa tunaanzaje kula kwa mkono

Ähnliche Videos