Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Ila kwa kweli
332,336 Aufrufe • vor 3 Jahren •via X (Twitter)
9 Kommentare

Uhalisia unapofungua moyo wa utoaji

MC amefanya unyama sana, hii nimeikubali

Sema ss wanadamu, chalii angekuwa nje tu ya ukumbi hapo akaomba sapoti ya kamtaji ,haohao wangemuita mwiz na angeonekana anaharibu sherehe, Tunatoa xna kwa maonyesho

MC katumia akili kubwa sana. Ila mwana atakuwa alimtukana sana kimoyomoyo🤣🤣

Mc katisha Sana kwakweli 🔥🔥 Uanaume kabisa

Daaah safi sana

Ameweza taking advantage of the situation and making the most of it plus giving back. Huyu jamaa wa 800 naweza sema "ukweli na uwazi umemlipa"

30000 kabaki nayo almost kaingiza 22000 kwasababu ya ukweli na 120000 kampa mdogo ake🤣👐🤣👐👐.

Uzalendo ungenishinda na undugu na bwana harusi ungeishia hapo yani 150k!!? 🤔 labda sio jobless mimi
