Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

73,433 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Latto 𝕏's profile picture
Latto 𝕏1 year ago

Hamna video inayosikitisha kama hii.. Ama kweli hujafa hujaumbika!! Kweli tunalipa kodi zetu, then tunakuja kuwekwa kwenye Buti la Deffender tukiumwa!! Daah!! Video kwa Comments👇

Sir Juliojr's profile picture
Sir Juliojr1 year ago

Dah! Kijana ameenda kujitafutia Labda abadilishe Historia ya Nyumbani kwao, Lakini dah😥😥 Mungu tufundishe kuhesabu siku zetu

armando24's profile picture
armando241 year ago

Sisi wananchi tunamtaka uyu mkandalasi wa ili jengo....pamoja na mthibiti viwango waje tunashida nao

Dr. Emmanuel Lusomi's profile picture
Dr. Emmanuel Lusomi1 year ago

Elimu ya ukoaji bado iko chini , mtu aliyeangukiwa na kifusi anabebagwa ivyo???* Haraka ilikuwa ya nini??

🏝 Junior _ Jextra🏅's profile picture
🏝 Junior _ Jextra🏅1 year ago

Si mgonjwa huyo. Tazama. Amefunikwa jeraha. Kichwani tayar. Marehemu💔.. BONGO UZEMBE UNATUKOSTI #PREYFORKARIAKOO💔🙏

Malalo Adam's profile picture
Malalo Adam1 year ago

Jamàa hapo juu analia Kwa uchungu sana,inaumiza walah 😭

Mwesiga Credius's profile picture
Mwesiga Credius1 year ago

Daaah 😢😢😢

mgking's profile picture
mgking1 year ago

Hata uwanjani kuna machela ( stretchers) niani njema ya kuokoa, lakini style hii ni rahisi kuongeza madhara kwa muathirika. Serikali iboreshe kitengo cha uokoaji. Hawa ndio wanaotakiwa kua na utayari muda wote kwa kuwezeshwa vifaa miundo mbinu.

Jumaa Zodo's profile picture
Jumaa Zodo1 year ago

Kwa miundombinu ya kkoo inahitajika ambulance zaidi ya 20 kwa kufanikisha hilo je zipo kumbuka foleni za dar pili eneo husika kikubwa uharaka wakumpeleka majeruhi na hilo si tamasha ni dharula imetokea chochote kinatumika mzee

Daniel Lameck's profile picture
Daniel Lameck1 year ago

Cha kwanza ni ufike hospital kaka unajua wakati wa viti kila silaha inayofaa inatumiwa ...Spain juzi wananchi waliamua kuzoa tope wenyewe

Related Videos