Loading video...
Video Failed to Load
Inauma sana!!
73,433 views • 1 year ago •via X (Twitter)
10 Comments

Hamna video inayosikitisha kama hii.. Ama kweli hujafa hujaumbika!! Kweli tunalipa kodi zetu, then tunakuja kuwekwa kwenye Buti la Deffender tukiumwa!! Daah!! Video kwa Comments👇

Dah! Kijana ameenda kujitafutia Labda abadilishe Historia ya Nyumbani kwao, Lakini dah😥😥 Mungu tufundishe kuhesabu siku zetu

Sisi wananchi tunamtaka uyu mkandalasi wa ili jengo....pamoja na mthibiti viwango waje tunashida nao

Elimu ya ukoaji bado iko chini , mtu aliyeangukiwa na kifusi anabebagwa ivyo???* Haraka ilikuwa ya nini??

Si mgonjwa huyo. Tazama. Amefunikwa jeraha. Kichwani tayar. Marehemu💔.. BONGO UZEMBE UNATUKOSTI #PREYFORKARIAKOO💔🙏

Jamàa hapo juu analia Kwa uchungu sana,inaumiza walah 😭

Daaah 😢😢😢

Hata uwanjani kuna machela ( stretchers) niani njema ya kuokoa, lakini style hii ni rahisi kuongeza madhara kwa muathirika. Serikali iboreshe kitengo cha uokoaji. Hawa ndio wanaotakiwa kua na utayari muda wote kwa kuwezeshwa vifaa miundo mbinu.

Kwa miundombinu ya kkoo inahitajika ambulance zaidi ya 20 kwa kufanikisha hilo je zipo kumbuka foleni za dar pili eneo husika kikubwa uharaka wakumpeleka majeruhi na hilo si tamasha ni dharula imetokea chochote kinatumika mzee

Cha kwanza ni ufike hospital kaka unajua wakati wa viti kila silaha inayofaa inatumiwa ...Spain juzi wananchi waliamua kuzoa tope wenyewe
