Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

73,433 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Latto 𝕏
Latto 𝕏vor 1 Jahr

Hamna video inayosikitisha kama hii.. Ama kweli hujafa hujaumbika!! Kweli tunalipa kodi zetu, then tunakuja kuwekwa kwenye Buti la Deffender tukiumwa!! Daah!! Video kwa Comments👇

Profilbild von Sir Juliojr
Sir Juliojrvor 1 Jahr

Dah! Kijana ameenda kujitafutia Labda abadilishe Historia ya Nyumbani kwao, Lakini dah😥😥 Mungu tufundishe kuhesabu siku zetu

Profilbild von armando24
armando24vor 1 Jahr

Sisi wananchi tunamtaka uyu mkandalasi wa ili jengo....pamoja na mthibiti viwango waje tunashida nao

Profilbild von Dr. Emmanuel Lusomi
Dr. Emmanuel Lusomivor 1 Jahr

Elimu ya ukoaji bado iko chini , mtu aliyeangukiwa na kifusi anabebagwa ivyo???* Haraka ilikuwa ya nini??

Profilbild von 🏝 Junior _ Jextra🏅
🏝 Junior _ Jextra🏅vor 1 Jahr

Si mgonjwa huyo. Tazama. Amefunikwa jeraha. Kichwani tayar. Marehemu💔.. BONGO UZEMBE UNATUKOSTI #PREYFORKARIAKOO💔🙏

Profilbild von Malalo Adam
Malalo Adamvor 1 Jahr

Jamàa hapo juu analia Kwa uchungu sana,inaumiza walah 😭

Profilbild von Mwesiga Credius
Mwesiga Crediusvor 1 Jahr

Daaah 😢😢😢

Profilbild von mgking
mgkingvor 1 Jahr

Hata uwanjani kuna machela ( stretchers) niani njema ya kuokoa, lakini style hii ni rahisi kuongeza madhara kwa muathirika. Serikali iboreshe kitengo cha uokoaji. Hawa ndio wanaotakiwa kua na utayari muda wote kwa kuwezeshwa vifaa miundo mbinu.

Profilbild von Jumaa Zodo
Jumaa Zodovor 1 Jahr

Kwa miundombinu ya kkoo inahitajika ambulance zaidi ya 20 kwa kufanikisha hilo je zipo kumbuka foleni za dar pili eneo husika kikubwa uharaka wakumpeleka majeruhi na hilo si tamasha ni dharula imetokea chochote kinatumika mzee

Profilbild von Daniel Lameck
Daniel Lameckvor 1 Jahr

Cha kwanza ni ufike hospital kaka unajua wakati wa viti kila silaha inayofaa inatumiwa ...Spain juzi wananchi waliamua kuzoa tope wenyewe

Ähnliche Videos