Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Inauma sana!!

73,433 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Hamna video inayosikitisha kama hii.. Ama kweli hujafa hujaumbika!! Kweli tunalipa kodi zetu, then tunakuja kuwekwa kwenye Buti la Deffender tukiumwa!! Daah!! Video kwa Comments👇

Фото профиля Sir Juliojr
Sir Juliojr1 год назад

Dah! Kijana ameenda kujitafutia Labda abadilishe Historia ya Nyumbani kwao, Lakini dah😥😥 Mungu tufundishe kuhesabu siku zetu

Фото профиля armando24
armando241 год назад

Sisi wananchi tunamtaka uyu mkandalasi wa ili jengo....pamoja na mthibiti viwango waje tunashida nao

Фото профиля Dr. Emmanuel Lusomi
Dr. Emmanuel Lusomi1 год назад

Elimu ya ukoaji bado iko chini , mtu aliyeangukiwa na kifusi anabebagwa ivyo???* Haraka ilikuwa ya nini??

Фото профиля 🏝 Junior _ Jextra🏅
🏝 Junior _ Jextra🏅1 год назад

Si mgonjwa huyo. Tazama. Amefunikwa jeraha. Kichwani tayar. Marehemu💔.. BONGO UZEMBE UNATUKOSTI #PREYFORKARIAKOO💔🙏

Фото профиля Malalo Adam
Malalo Adam1 год назад

Jamàa hapo juu analia Kwa uchungu sana,inaumiza walah 😭

Фото профиля Mwesiga Credius
Mwesiga Credius1 год назад

Daaah 😢😢😢

Фото профиля mgking
mgking1 год назад

Hata uwanjani kuna machela ( stretchers) niani njema ya kuokoa, lakini style hii ni rahisi kuongeza madhara kwa muathirika. Serikali iboreshe kitengo cha uokoaji. Hawa ndio wanaotakiwa kua na utayari muda wote kwa kuwezeshwa vifaa miundo mbinu.

Фото профиля Jumaa Zodo
Jumaa Zodo1 год назад

Kwa miundombinu ya kkoo inahitajika ambulance zaidi ya 20 kwa kufanikisha hilo je zipo kumbuka foleni za dar pili eneo husika kikubwa uharaka wakumpeleka majeruhi na hilo si tamasha ni dharula imetokea chochote kinatumika mzee

Фото профиля Daniel Lameck
Daniel Lameck1 год назад

Cha kwanza ni ufike hospital kaka unajua wakati wa viti kila silaha inayofaa inatumiwa ...Spain juzi wananchi waliamua kuzoa tope wenyewe

Похожие видео