Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

73,433 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

Latto 𝕏 profil fotoğrafı
Latto 𝕏1 yıl önce

Hamna video inayosikitisha kama hii.. Ama kweli hujafa hujaumbika!! Kweli tunalipa kodi zetu, then tunakuja kuwekwa kwenye Buti la Deffender tukiumwa!! Daah!! Video kwa Comments👇

Sir Juliojr profil fotoğrafı
Sir Juliojr1 yıl önce

Dah! Kijana ameenda kujitafutia Labda abadilishe Historia ya Nyumbani kwao, Lakini dah😥😥 Mungu tufundishe kuhesabu siku zetu

armando24 profil fotoğrafı
armando241 yıl önce

Sisi wananchi tunamtaka uyu mkandalasi wa ili jengo....pamoja na mthibiti viwango waje tunashida nao

Dr. Emmanuel Lusomi profil fotoğrafı
Dr. Emmanuel Lusomi1 yıl önce

Elimu ya ukoaji bado iko chini , mtu aliyeangukiwa na kifusi anabebagwa ivyo???* Haraka ilikuwa ya nini??

🏝 Junior _ Jextra🏅 profil fotoğrafı
🏝 Junior _ Jextra🏅1 yıl önce

Si mgonjwa huyo. Tazama. Amefunikwa jeraha. Kichwani tayar. Marehemu💔.. BONGO UZEMBE UNATUKOSTI #PREYFORKARIAKOO💔🙏

Malalo Adam profil fotoğrafı
Malalo Adam1 yıl önce

Jamàa hapo juu analia Kwa uchungu sana,inaumiza walah 😭

Mwesiga Credius profil fotoğrafı
Mwesiga Credius1 yıl önce

Daaah 😢😢😢

mgking profil fotoğrafı
mgking1 yıl önce

Hata uwanjani kuna machela ( stretchers) niani njema ya kuokoa, lakini style hii ni rahisi kuongeza madhara kwa muathirika. Serikali iboreshe kitengo cha uokoaji. Hawa ndio wanaotakiwa kua na utayari muda wote kwa kuwezeshwa vifaa miundo mbinu.

Jumaa Zodo profil fotoğrafı
Jumaa Zodo1 yıl önce

Kwa miundombinu ya kkoo inahitajika ambulance zaidi ya 20 kwa kufanikisha hilo je zipo kumbuka foleni za dar pili eneo husika kikubwa uharaka wakumpeleka majeruhi na hilo si tamasha ni dharula imetokea chochote kinatumika mzee

Daniel Lameck profil fotoğrafı
Daniel Lameck1 yıl önce

Cha kwanza ni ufike hospital kaka unajua wakati wa viti kila silaha inayofaa inatumiwa ...Spain juzi wananchi waliamua kuzoa tope wenyewe

Benzer Videolar