Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Jamaa katulipia Deni 😀😀
56,063 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
11 Yorum

Jamaa kashatulipia Deni kilichobaki ni wewe kuwa na bando tuu!!

- Come Around

Yaani mwanamke anaweza ata akawa alimpa mchizi ata ten tu kwenye kuunga unga ila mwanamke anahesabu kuwa kamsomesha tuogope hela za wanawake

Ukisikiliza maelezo ya jamaa utagundua mwanamke ndo mwenye shida

“Kwa kupigwa kwake sisi sote tumepona” sema AMEN!!!

Amen kaka

Anasema kamsomesha ukute kuna siku mchizi alipungukiwa hata 50k akampa basi anasema kamsomesha wanawake ni wa ajabu sana anaonekana tu hana hela hiyo hela ya kusomesha mwanaume anaitoa wapi nakataa🚮

Unaweza kuta alimpa tu elfu50 ya matumizi ndio anasema kamsomesha😂😂😂😂

Kama una sikio zuri na zima kabisa ukiwaskiliza wote wawili utajua kwamba dada hasemi uongo hata kidogo. Jamaa anajaribu kukwepesha mambo kwa kile ambacho wanaume wengi tunahofia (aibu) kwa jamii lakini dada anazungumza dhati ya moyo. 😅

Mwenye # Za Mwana Atume Nimpe Chochote Kitu🤣🤣🤣

Kwa Ujasili Mkubwa Tumepataa Mwanetu wa Damu Damu
Benzer Videolar
Sensitive content
MALING APES...SUNGGUH MENGHARUKAN😀😀😀😀
Cah Sragen, muter2 di Sumatera, bisnis di Malang😃
238,882 görüntüleme • 1 yıl önce
