Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Jamaa katulipia Deni 😀😀

56,060 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Myunani
Myunani1 год назад

Jamaa kashatulipia Deni kilichobaki ni wewe kuwa na bando tuu!!

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

- Come Around

Фото профиля Latino mafia
Latino mafia1 год назад

Yaani mwanamke anaweza ata akawa alimpa mchizi ata ten tu kwenye kuunga unga ila mwanamke anahesabu kuwa kamsomesha tuogope hela za wanawake

Фото профиля HR MJELWA
HR MJELWA1 год назад

Ukisikiliza maelezo ya jamaa utagundua mwanamke ndo mwenye shida

Фото профиля EricK 🇹🇿
EricK 🇹🇿1 год назад

“Kwa kupigwa kwake sisi sote tumepona” sema AMEN!!!

Фото профиля Myunani
Myunani1 год назад

Amen kaka

Фото профиля ●MTaalam wa Izi Kazi🦺🇹🇿
●MTaalam wa Izi Kazi🦺🇹🇿1 год назад

Anasema kamsomesha ukute kuna siku mchizi alipungukiwa hata 50k akampa basi anasema kamsomesha wanawake ni wa ajabu sana anaonekana tu hana hela hiyo hela ya kusomesha mwanaume anaitoa wapi nakataa🚮

Фото профиля Wamuhira
Wamuhira1 год назад

Unaweza kuta alimpa tu elfu50 ya matumizi ndio anasema kamsomesha😂😂😂😂

Фото профиля ToneNimo
ToneNimo1 год назад

Kama una sikio zuri na zima kabisa ukiwaskiliza wote wawili utajua kwamba dada hasemi uongo hata kidogo. Jamaa anajaribu kukwepesha mambo kwa kile ambacho wanaume wengi tunahofia (aibu) kwa jamii lakini dada anazungumza dhati ya moyo. 😅

Фото профиля Shaüri Jr🦂
Shaüri Jr🦂1 год назад

Mwenye # Za Mwana Atume Nimpe Chochote Kitu🤣🤣🤣

Фото профиля MWENYEJI WA NJOMBE
MWENYEJI WA NJOMBE1 год назад

Kwa Ujasili Mkubwa Tumepataa Mwanetu wa Damu Damu

Похожие видео