Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Jamaa katulipia Deni 😀😀
56,060 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

Jamaa kashatulipia Deni kilichobaki ni wewe kuwa na bando tuu!!

- Come Around

Yaani mwanamke anaweza ata akawa alimpa mchizi ata ten tu kwenye kuunga unga ila mwanamke anahesabu kuwa kamsomesha tuogope hela za wanawake

Ukisikiliza maelezo ya jamaa utagundua mwanamke ndo mwenye shida

“Kwa kupigwa kwake sisi sote tumepona” sema AMEN!!!

Amen kaka

Anasema kamsomesha ukute kuna siku mchizi alipungukiwa hata 50k akampa basi anasema kamsomesha wanawake ni wa ajabu sana anaonekana tu hana hela hiyo hela ya kusomesha mwanaume anaitoa wapi nakataa🚮

Unaweza kuta alimpa tu elfu50 ya matumizi ndio anasema kamsomesha😂😂😂😂

Kama una sikio zuri na zima kabisa ukiwaskiliza wote wawili utajua kwamba dada hasemi uongo hata kidogo. Jamaa anajaribu kukwepesha mambo kwa kile ambacho wanaume wengi tunahofia (aibu) kwa jamii lakini dada anazungumza dhati ya moyo. 😅

Mwenye # Za Mwana Atume Nimpe Chochote Kitu🤣🤣🤣

Kwa Ujasili Mkubwa Tumepataa Mwanetu wa Damu Damu
Похожие видео
Simpel tanpa debat kusir,logika yang menjawabnya 😀😀😀😀😀😀
🌸 CUT PUTROE 🌸
14,133 просмотров • 3 лет назад
Sensitive content
MALING APES...SUNGGUH MENGHARUKAN😀😀😀😀
WONG SRAGEN OMAHE NENG KALTIM MUTER2 NENG SUMATRA
238,833 просмотров • 1 год назад
