ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

Jamaa katulipia Deni ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

56,060 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

11 ๆก่ฏ„่ฎบ

Myunani ็š„ๅคดๅƒ
Myunani1 ๅนดๅ‰

Jamaa kashatulipia Deni kilichobaki ni wewe kuwa na bando tuu!!

Solar Heavy ็š„ๅคดๅƒ
Solar Heavy1 ๅนดๅ‰

- Come Around

Latino mafia ็š„ๅคดๅƒ
Latino mafia1 ๅนดๅ‰

Yaani mwanamke anaweza ata akawa alimpa mchizi ata ten tu kwenye kuunga unga ila mwanamke anahesabu kuwa kamsomesha tuogope hela za wanawake

HR MJELWA ็š„ๅคดๅƒ
HR MJELWA1 ๅนดๅ‰

Ukisikiliza maelezo ya jamaa utagundua mwanamke ndo mwenye shida

EricK ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ็š„ๅคดๅƒ
EricK ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 ๅนดๅ‰

โ€œKwa kupigwa kwake sisi sote tumeponaโ€ sema AMEN!!!

Myunani ็š„ๅคดๅƒ
Myunani1 ๅนดๅ‰

Amen kaka

โ—MTaalam wa Izi Kazi๐Ÿฆบ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ็š„ๅคดๅƒ
โ—MTaalam wa Izi Kazi๐Ÿฆบ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ1 ๅนดๅ‰

Anasema kamsomesha ukute kuna siku mchizi alipungukiwa hata 50k akampa basi anasema kamsomesha wanawake ni wa ajabu sana anaonekana tu hana hela hiyo hela ya kusomesha mwanaume anaitoa wapi nakataa๐Ÿšฎ

Wamuhira ็š„ๅคดๅƒ
Wamuhira1 ๅนดๅ‰

Unaweza kuta alimpa tu elfu50 ya matumizi ndio anasema kamsomesha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

ToneNimo ็š„ๅคดๅƒ
ToneNimo1 ๅนดๅ‰

Kama una sikio zuri na zima kabisa ukiwaskiliza wote wawili utajua kwamba dada hasemi uongo hata kidogo. Jamaa anajaribu kukwepesha mambo kwa kile ambacho wanaume wengi tunahofia (aibu) kwa jamii lakini dada anazungumza dhati ya moyo. ๐Ÿ˜…

Shaรผri Jr๐Ÿฆ‚ ็š„ๅคดๅƒ
Shaรผri Jr๐Ÿฆ‚1 ๅนดๅ‰

Mwenye # Za Mwana Atume Nimpe Chochote Kitu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

MWENYEJI WA NJOMBE ็š„ๅคดๅƒ
MWENYEJI WA NJOMBE1 ๅนดๅ‰

Kwa Ujasili Mkubwa Tumepataa Mwanetu wa Damu Damu

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘