正在加载视频...

视频加载失败

155,366 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

11 条评论

PaYRoLL🪙 的头像
PaYRoLL🪙1 年前

Kwenye track ya Kaa Tayari alisema "natoa ngoma kali na viroba" Viroba vimemuelemea sasa 💔😅

Austin Scholar 的头像
Austin Scholar2 年前

I interviewed JD Martinez, one of the best hitters in baseball. He went from being cut by the worst team in baseball to becoming an All-Star – in an unconventional way (that everyone can learn from). Check out the interview here:

Boniphace Nkombe 的头像
Boniphace Nkombe1 年前

One of of the best rappers tumewah kua blessed! Yeye na Mabovu walikua na mabovu walikua na sound za kipekee!!!

Kalidayo 的头像
Kalidayo1 年前

Hajafikia pabaya sana Jos, sema huyo mwandish hajafanya jambo la mbolea kumhoji legend akiwa kalewa, have some respect to legends nyie media uchwara qmmk. Kiss fm enzi hizo lazima waanze na nyimbo ya hiyu jamaa ile mida ya saa 12 jion had saa 3

BestHope 的头像
BestHope1 年前

Alitupa kitu gold sana kwenye hii song - unaionaje

Mullo 的头像
Mullo1 年前

Pombe haijawahi kumpendeza mtu yeyote yule

BEBERU🐐 的头像
BEBERU🐐1 年前

Nimejisikia vibaya sana asee, huyu mwamba bado anaudai muziki.

Erick Mallya 的头像
Erick Mallya1 年前

Talanta ingine inapotea, hivi alipofika Jose hapa unamrudishaje? Ukiacha muziki mtaani kuna ndoto nyingi zinafia kwenye njia kama hizi suluhisho ni nini? Jose on his prime anaenda verse to verse na yoyote, kwenye bata boy aligusana mabega na Ngosha, Ngwea effortlessly 🙌

Gavana wa kaunti ya Tabata 的头像
Gavana wa kaunti ya Tabata1 年前

"Kipaji pekee hakitoshi kukufanya kuwa juu, ongeza bidii, ulinzi wa mpaji na nidhamu ya juu" QD tha Rappa.

Fabricator🇹🇿 的头像
Fabricator🇹🇿1 年前

Nipe basi hata namba yako Niahidi utakuja tena Bonge la demu what's your name Hivi nani kamuuzi huyu manzi mazee Nipe basi hata namba yako Niahidi utakuja tena Bonge la demu what's your name Hivi nani kamuuzi huyu manzi mazee Daahhh nimelia sana kmmke😭😭😭😭 what is wrong bro

Call me Toni 的头像
Call me Toni1 年前

The worse case ni hizi media pumbavu kwenda kuhoji ili mradi kuaibisha tu hawa wasanii.