Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Joslin alikuwa mnyama sana
593,118 просмотров • 3 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 35

Madawa ya kulevya yana madhara makubwa sana kijamii, kiuchumi, kiafya na kiroho vijana tusijiingiza katika swala zima la utumiaji wa madawa ya kulevya. Ni hatari

Unga umepora future za vijana wengi

Mitaa ya Tabata kwa Bibi namuonaga Daz Mwalimu aisee amekata ringi uwozi amini kama aliimba nyimbo Nzuri tukafurai, Madawa ya kulevya na HIV zinaondoa manigga wengi

Alikuwa na vunja yake flani hivi ya kipekee

ukiondoa yote aliyoyapitia nimependa MENTALITY yake kuwa hajutii kwa lolote.

Mziki haukuwapa hela walizotarajia

Sorry kwa josline,mshikaji fulani,tanzania vitani,maisha na ngoma nyingi tulikuwa nazo mtaani sana.Ushauri kwa vijana wenzangu maisha yakienda kombo,rudi kwa mola wako then jitafute utajipata naye atakupa uwezo utasimama imara,tusikate tamaa mambo yakiharibika.

Madawa ya kulevya ni adui 🥺 hicho kijichawa pembeni kimevurugwa 😂

"Mi nakula perfume we hupaki" noma sana. Never thought jamaa amekuwa hivi; very sad.

I think we need to add madawa ya kulevya kwenye maadui wakubwa wa Taifa…yanaondoka na Nguvu kazi kubwa sana ya hili Taifa

Anguko lako limeletwa na huyo chawa wako hapo pembeni

Joslin amefikia hapo aisee?😭😭😭 Halafu kuna mtu anaenjoy na kesho anashusha mzigo mwingine apige hela

Usela na kutamani umarekani mwingi mwisho huwa hivi au mbaya zaidi ya hivi. Acha mihadarati

Sugu ana project wale wasanii wa zamani wanapiga show kwanini asifanye project pia ya kuwasadiia hawa jamaa

Noma Noma ..Jamaa alikuwa MTUMISHI altareni hapo St. Peters enzi hizoo...

Kuna siku nilimuona Ma'kamua Mwanza kawa Chokoraa kabisa kakonda sana.🚶🚶😢

Kama tunavyokumbukaga nyimbo za kitambo inabidi tuwakumbuke na wasanii wa kitambo,wameathirika sana na madawa.

Dah @Onesmo_hanta mzee ile dhahabu na niite basi tunazila sana kmbe mwanetu yuko hv aseee

Halafu kuna Dullayo nae amechoka vibaya mno

niliqngalia hiki kipindi, jamaa ni mtu poa sana asee😢 huyo mwingine hapo juu😅🙌🏻

Ukitaka kumrudisha jose katka line basi ua huyo mtu pembeni apo

yan sina chakusema nimeangalia hii video dah nimekubuka ile mikopo ya wasanii milion 30 dah wamepewa watu wasio stahiki

Imeniuma Sana kama mzazi na kama Kijana mwenzake inahuzunisha Sana Madawa Namna yanaharibu vijana wetu na kutajirisha wengine

Nan ananuuzia kete? Nan anamfanya avute? Ili tufanye mpango wabaya tukawakamate!

Hao waandishi nao hawana maadili tu...unamfanyia interview mtu ambaye unaona hayuko sawa kabisa...lengo ni kumfedhehesha ama??

This is really sad

jaribuni vyoote ila heroin na cocaine usike jaribu kugusa kimbia kabsa na kama unarafika anamisha nazo mpotezee

kipindi iko nipo primary alikua msanii wangu Bora pamoja na kina noorah,ngwea na feruzi. Madj nilikua nawajua wawili tu Dj JD na Dj majah majeh ooh dj majizo fo shizo

Sijui kuhusu madawa lakini nikiangalia hii Clip huyu anakula sana vitu vikali

Huyo mpambe ndio anampoteza mwamba kumkoleza kama anapiga back vocals

I watched thi s over and ove and over again... Still cannot believe what I have seen Joslin... Daah Oyaa Tule Dona tu wanangu sembe Jau kmmmke😭😭

Goma lake bado tuna bang nalo kitaa afu kumbe mchizi kashalost iv dah, don’t mess up with Drugs mazee

Mdau alikuwa poa sana nakumbuka garyation ya form six wa mbele yetu 2005 minaki kipind ndo anawika na dude lake lile kali alafu umeme ukakata mshikaji akawa anashuka mistari mbele ya mesi chin ya muembe it was amazing sana. Ila dona sio ishu mazee

Kwan anakula unga?

Joslyn bonge la msanii wa kipindi chote,sema ndio hivyo makundi mabaya huaribu sana vijana...Fire starz wakae chini waliangalie hili
Похожие видео
Arrow Bwoy alikuwa amejichocha sana jameni. 😂😂😂
Cornelius K. Ronoh
16,357 просмотров • 2 месяцев назад
