Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Kama una muda msikilize mwamba. 👇👇
70,758 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Kumbe huwa kunatyme linaakili eeeh Mm sijui kuhama chama sjui nini hayo ya kwake ila nitampongeza kile kinachotoka kinywani

got a min for a new song?

yeye aendelee kusema nasimama na mama

Mnyakyusa mwenzangu mshamba kinoma. Wewe c ndo ulikuwa kwenye mick unasema ccm mitano tena? Nakusanua. Sisi wanainchi ndo wanunua ving'amuzi na walipa kodi ya serikari na kuripa garama ya ving'amuzi

Kuna hoja hapa ukimsikiliza kwa makini

Hiii sheria asili yake ni uislam ndo kama haji mtu anaoa anaacha watoto anaoa mwingine akijisikia anaacha tena wale waislam wa hispania wakaona watoto wengi wapo mtaani ndo wakaleta ukimwacha mwanamke umpe Mali baadae ndo ikaenda mpaka kwa hao wazungu wao wali modify tu

Huyu jamaa ana hoja za msingi apewe nafasi zaidi,ni kweli Serikali ni tatizo Serikali unachangia ndoa nyingi kusambaratika kutokana na upendeleo kwa Wanawake,hao wasomi binafsi sion faida ya usomi wao kabisa,hata huko dawati la jinsia hakuna kitu zaidi ya kumtetea Mwanamke.

Juz juz huyu anadai katoka chadema kahamia ccm kanya weee leo tena unailaumu serikali sijui mahakama mifumo ya sheria na nn Tulia hapo gapo dawa ikuingiee

Ni Time muafaka Tz kuleta Pre-Nup,watu wanaumia mno

Kaongea point

Nilitaka niongee mengi kuhusu huyu ila naona yote wenzangu mmeshaniwakilisha🤝🤝
